Una Miaka 30+ unafata nini night club?


Wasipoenda, madanga ya kuwafunua marinda mtatoa wapi?
 
Acheni kuramba ramba lips,watoto wa watu mnawalisha chips kavu na maji makubwa, kwan mnafanya kazi Wizara ya Maji

Wazee tupo hapa,kazi ndogo mtoto anakula anachotaka na pia kesho asubuhi anapewa mzigo wa maana,ambao wewe na kuramba ramba kwako lipis,itakuchukua miezi 4 hadi mitano kuipata hiyo pesa! Acheni ujinga
 
Kwanini ukakeshe kwenye nyumba ya ibada usiku muda wa kujumuika na familia?
 
Mimi nina miaka 60 na Club nakwenda na totoz born 2000 naruka nazo kama kawa
 
Miaka 30+ ndio mwanaume anaanza kujipata Pata na pesa ya kutanua na kula starehe inaanza kupatikana. Ndio muda sahihi wa kuwatumia hawa watoto na wenyewe wanapenda watu wa kuanzia umri huo uhakika wa vinywaji, chakula na pesa nzuri asubuhi ni uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…