Una Miaka 30+ unafata nini night club?

Unamaanisha pub au night club? Kama ni pub, unataka tukatumie wapi pesa zetu?
 
Hahah mbona unatupangia matumizi ya fedha zetu sie wa 30+ utu uzima which? utu zima where?
 
Wanafunzi hamna pesa sisi tunaenda kukamata mademu zenu tuwatengenezeeni njia mki waoa mkute tayari mtelezo
 
Nimecheka sana aiseeee
 
HAOO 30 + NDIO TUNALILIWA CLUB HATUNA UBAHILI NYIE MNATOA 10000 MNATAKA NA CDM BUREE UWIII
 
Tatizo elimu na mfumo unawafanya wanaanza kushika pesa au kujipata wakiwa kwenye miaka 30+

Muda huohuo aanzishe familia afanye starehe za hapa na pale kama kwenda night clubs n.k

Ulimbukeni na ushamba pia unachangia wengi waliofanya hizo starehe wakiwa 20s huwa hawana ushamba huo utawakuta sana sana kwenye liquor stores wakishagonga 30+
 
Umri usioruhusiwa ni chini ya miaka 18, kuanzia hapo kwenda mbele ni pesa yako tu, chukulia msanii banana au AY au JD anatumbuiza club wewe uta mzuia mtu kwenye miaka 45+ asiende club jjibu ni kwamba hakuna umri maalum ukichoka utaacha mwenyewe NDO MAANA UNAONA Kuna watu mchanganyiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…