So so true30yrs ndo Hela inaaanza kuja kuja maana 22-28 umri mbaya Sana ktk utafutaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So so true30yrs ndo Hela inaaanza kuja kuja maana 22-28 umri mbaya Sana ktk utafutaji
Kwenye haya maisha ukifanya Yako utakuwa huru sana kijana punguza kujipa umuhimu punguza sanaDuh mara umeshawaza masuala ya kutelezewa kwa Nini akili Yako imekutuma huko haraka au Kuna namna umewahi philwa udogoni!?anyway pole blood ni life
Very true na angalau ndio ka financial freedom kanatokea30yrs ndo Hela inaaanza kuja kuja maana 22-28 umri mbaya Sana ktk utafutaji
Classmate apo umedanganya😃Nina miaka 24...😔
Na ukiwa na hela huna haja ya kutomber mpk iwake Moto/kuzama chumvini.Kidogo tu na kesho yake unatafutwa huku unapewa sifa za uongo na Ukweli.And hawana hela plus mapenzi hawajui kimoja tu chali kwakua wanashindia chips na energy na hawajui jinsi ya kutafuta hela
Kwa wenzetu? Kwenu Ni wapi?Hivi unaelewa hata maana ya hiyo Life begins at 40 au ndio mmeitafutia maana yenu ili mjifariji, hiyo inamaanisha huo ni umri wa kula matunda ya mapambano uliyoyafanya ukiwa kijana na siyo eti ukifika huo umri ndio uanze kujitafuta, huko kwa wenzetu mtoto wa miaka 16 analilia kuondoka kwa wazazi wake kuanza maisha yake ila huku kwetu jitu la miaka 30 linawaza uchawa na kutaka pesa za bure bure tu
22-28 hapo mabraza wanakukosoa kinoma, mtaani wanakuona ulienda kusomea ujinga, ndugu wanaona elimu haijakukomboa kifikra, unahangaikia ajira hupati bado hata pa kujishkiza huoni...kitaaa huna network, kweny mapenzi ndo balaa binti havikuelewi wanakuona unanuka jasho🤣sema kwenye Miaka miwili mitatu ukihangaika ndo mambo yanaanza kwenda vzr ko mpaka ufike 28++ mambo yanaanza kua mazuriVery true na angalau ndio ka financial freedom kanatokea
Utamtimuaje tajiri?Hivi mzee Mengi alipomuoa K-Lyn alikuwa na miaka mingapi??
Mambo ya kuwekeana mipaka ni mambo ya umaskini na mitizamo iliyojaa choyo. Leo sugu ana miaka 54, akionekana Club atatimuliwa!!??
Jamaa una roho ngumu,WAJADILI WA MIAKA 30 BADO WAKOO KWA WAZAZI TUNAWAKWAMUAJE MKUUU
Wengi waliofanya starehe at 20s ni watoto wa kishua au wale waliopata connection za kazi nzuri mapema ila tofauti na hapo acha waliojipata wenyewe wale bata at 30sTatizo elimu na mfumo unawafanya wanaanza kushika pesa au kujipata wakiwa kwenye miaka 30+
Muda huohuo aanzishe familia afanye starehe za hapa na pale kama kwenda night clubs n.k
Ulimbukeni na ushamba pia unachangia wengi waliofanya hizo starehe wakiwa 20s huwa hawana ushamba huo utawakuta sana sana kwenye liquor stores wakishagonga 30+
Pale Frank Mtei alifeli.Pestana dodoma ili fail na kufa kifo cha mende sababu ya wanachuo kujazana, Under 30 wanapata wapi pesa za kuspend?
Au unadhani night club wanatoa msaada wa kuwapigia music mcheze na kubambiana bure!
Kwanza ataruhusiwa kuingia 1245? 😅unaongelea club au kitambaa cheupe,kama kitamabaa cheupe sawa ila kama club hao vijana wako hawawezi kusimamia show pale 1245 bado uhitaji wa wazee ni mkubwa sana.
Yah akasahihisha Bambalaga napo watu bado wanalalama…. Wananji wa njii hii ni walalamishi sana! 😀Pale Frank Mtei alifeli.
Bahati nzuri Lina hela na huyo Manzi unaelinga nae humo club ataenda kulinyonya d**k yake kwny gari na baadae huyo huyo demu atakuletea mdomo huo uupige denda huku unashushia Hanson choice/k-vany humo club.Unakuta zee Zima , nyama zimeanza kuachana na mifupa, nywele zimeota mvi ila amepaka rangi kuzificha , limevaa eti kaptula lipo huko club linaruka ruka
Jamaa alifika sehemu watu wafupi akawa hataki waingie kwny club yake 😀😀,ukiwa mfupi tu baunsa anazuia chap kuingia.Yah akasahihisha Bambalaga napo watu bado wanalalama…. Wananji wa njii hii ni walalamishi sana! 😀
Pesaa hawanaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wanafunzi wa chuo na watoto wa 2005 wanaenda night club kuvizia wanjomba wa 30+ maana nyie wa bellow 30 mnaonekana wa hovyo tu
na akifanikiwa kuingia hata dakika 5 hamalizi atashuka chini maana ataona mazingira siyo rafiki kwake 😂😂😂😂Kwanza ataruhusiwa kuingia 1245?
Tanzania watu wanazeeka mapema sana kwa sababu ya umaskini tu. Leo Biden ana miaka 80 anawaza kuwa Rais wa Marekani miaka 4 mingine. Huku mtu anaona miaka 35 ni uzee.Utamtimuaje tajiri?
Unatimua tuvijana tunatoonekana hatuna ramani.