Una mpango wa ku-date na mke wa mtu? Zingatia haya

Una mpango wa ku-date na mke wa mtu? Zingatia haya

kunta93

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
754
Reaction score
1,512
1: Mke wa mtu unapiga mara Moja.ukinogewa shauri ako.

2: Tafuta njia mbadala ya kuwasiliana nae.iwe ya tofauti.mimi hua natumia email,natuma email ndefu af ujumbe unakua katikati

3: Usitumie guest/lodge Moja.ue unabadilisha badilisha ikibidi hata maeneo pia.leo unapgia kibaha,kesho mbagala keshokutwa mlandizi

4: Usimpe zawadi yoyote hasa ya gharama,i nayoonekana kirahisi.usitoe nafasi ya mwenye Mali kuhisi

5: Kutana naye siku ya kupiga tu,no going out.unakuta Mzee baba yuko Na wife wa mtu baa wanakunywa tena wanajiachia bro utabambwa utaiona Dunia chungu.hakikisha unakutana nae siku ya mechi tu

6: Usimwambie mtu, even your best friend wake za watu hua wasiri sana, tatizo Ni sisi wanaume
 
Um
1; mke wa mtu unapiga mara Moja.ukinogewa shauri ako.

(Ikishindikana)

2:tafta njia mbadala ya kuwasiliana nae.iwe ya tofauti.mimi hua natumia email,natuma email ndefu af ujumbe unakua katikati

3;usitumie guest/lodge Moja.ue unabadilisha badilisha ikibidi hata maeneo pia.leo unapgia kibaha,kesho mbagala keshokutwa mlandizi

4:usimpe zawadi yoyote hasa ya gharama,i nayoonekana kirahisi.usitoe nafasi ya mwenye Mali kuhisi

5:kutana nae siku ya kupiga tu,no going out.unakuta Mzee baba yuko Na wife wa mtu baa wanakunywa tena wanajiachia bro utabambwa utaiona Dunia chungu.hakikisha unakutana nae siku ya mechi tu

6:usimwambie mtu,even your best friend.wake za watu hua wasiri sana,tatizo Ni sisi wanaume

Uzi tayari
Umeathiriwa na utawala wa CCM bwashee, tafuta kujikwamua kifikra maana azinie na mwanamke hana akili kabisa pimbi wewe
 
Waliosema za mwizi ni arobaini hawakukosea kuna siku utateleza na ndo utaelewa kwanini mke wa mtu sumu
 
1; mke wa mtu unapiga mara Moja.ukinogewa shauri ako.

(Ikishindikana)

2:tafta njia mbadala ya kuwasiliana nae.iwe ya tofauti.mimi hua natumia email,natuma email ndefu af ujumbe unakua katikati

3;usitumie guest/lodge Moja.ue unabadilisha badilisha ikibidi hata maeneo pia.leo unapgia kibaha,kesho mbagala keshokutwa mlandizi

4:usimpe zawadi yoyote hasa ya gharama,i nayoonekana kirahisi.usitoe nafasi ya mwenye Mali kuhisi

5:kutana nae siku ya kupiga tu,no going out.unakuta Mzee baba yuko Na wife wa mtu baa wanakunywa tena wanajiachia bro utabambwa utaiona Dunia chungu.hakikisha unakutana nae siku ya mechi tu

6:usimwambie mtu,even your best friend.wake za watu hua wasiri sana,tatizo Ni sisi wanaume

Uzi tayari
Usisahau kilainishi bro 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom