kunta93
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 754
- 1,512
1: Mke wa mtu unapiga mara Moja.ukinogewa shauri ako.
2: Tafuta njia mbadala ya kuwasiliana nae.iwe ya tofauti.mimi hua natumia email,natuma email ndefu af ujumbe unakua katikati
3: Usitumie guest/lodge Moja.ue unabadilisha badilisha ikibidi hata maeneo pia.leo unapgia kibaha,kesho mbagala keshokutwa mlandizi
4: Usimpe zawadi yoyote hasa ya gharama,i nayoonekana kirahisi.usitoe nafasi ya mwenye Mali kuhisi
5: Kutana naye siku ya kupiga tu,no going out.unakuta Mzee baba yuko Na wife wa mtu baa wanakunywa tena wanajiachia bro utabambwa utaiona Dunia chungu.hakikisha unakutana nae siku ya mechi tu
6: Usimwambie mtu, even your best friend wake za watu hua wasiri sana, tatizo Ni sisi wanaume
2: Tafuta njia mbadala ya kuwasiliana nae.iwe ya tofauti.mimi hua natumia email,natuma email ndefu af ujumbe unakua katikati
3: Usitumie guest/lodge Moja.ue unabadilisha badilisha ikibidi hata maeneo pia.leo unapgia kibaha,kesho mbagala keshokutwa mlandizi
4: Usimpe zawadi yoyote hasa ya gharama,i nayoonekana kirahisi.usitoe nafasi ya mwenye Mali kuhisi
5: Kutana naye siku ya kupiga tu,no going out.unakuta Mzee baba yuko Na wife wa mtu baa wanakunywa tena wanajiachia bro utabambwa utaiona Dunia chungu.hakikisha unakutana nae siku ya mechi tu
6: Usimwambie mtu, even your best friend wake za watu hua wasiri sana, tatizo Ni sisi wanaume