mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
7..usisahau kutembea na Vaseline..au kilainishi chochote.1; mke wa mtu unapiga mara Moja.ukinogewa shauri ako.
(Ikishindikana)
2:tafta njia mbadala ya kuwasiliana nae.iwe ya tofauti.mimi hua natumia email,natuma email ndefu af ujumbe unakua katikati
3;usitumie guest/lodge Moja.ue unabadilisha badilisha ikibidi hata maeneo pia.leo unapgia kibaha,kesho mbagala keshokutwa mlandizi
4:usimpe zawadi yoyote hasa ya gharama,i nayoonekana kirahisi.usitoe nafasi ya mwenye Mali kuhisi
5:kutana nae siku ya kupiga tu,no going out.unakuta Mzee baba yuko Na wife wa mtu baa wanakunywa tena wanajiachia bro utabambwa utaiona Dunia chungu.hakikisha unakutana nae siku ya mechi tu
6:usimwambie mtu,even your best friend.wake za watu hua wasiri sana,tatizo Ni sisi wanaume
Uzi tayari
Siku ukishikwa ugoni usiumie sana.