BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
KY
Ongezea na utakapofumwa ujiandae na nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea na utakapofumwa ujiandae na nini
Watoto wanafundishana tabia za wakubwa.Endeleeni kudanganyana
Mkuu inaonyesha wewe ni legendaryUkifata hiz mbinu huez fumaniwa
Katika 1000 anafumwa 1 mwenye hatumii hizo mbinu,mke wa mtu nikimtokea huwa sihitaji anizungushe kama binti au mwenye mawenge napiga chini on the spot na mbinu tajwa ni muhimu sanaOngezea na utakapofumwa ujiandae na nini
Na huyo mmoja unaweza ukawa wewe then mwenye mali akakuchezeshea mshededeKatika 1000 anafumwa 1 mwenye hatumii hizo mbinu,mke wa mtu nikimtokea huwa sihitaji anizungushe kama binti au mwenye mawenge napiga chini on the spot na mbinu tajwa ni muhimu sana
Kwamba wewe ni pro wa wake za watuKatika 1000 anafumwa 1 mwenye hatumii hizo mbinu,mke wa mtu nikimtokea huwa sihitaji anizungushe kama binti au mwenye mawenge napiga chini on the spot na mbinu tajwa ni muhimu sana
Rafiki unakumbuka nilikuahidi kuwa nafungua ID nyingine nijiite Mr Van?😜😜😜Ongezea na utakapofumwa ujiandae na nini
Waliosema za mwizi ni arobaini hawakukosea kuna siku utateleza na ndo utaelewa kwanini mke wa mtu sumu
Nakumbuka rafiki. Umefikia wapi [emoji23][emoji23][emoji23]Rafiki unakumbuka nilikuahidi kuwa nafungua ID nyingine nijiite Mr Van?[emoji12][emoji12][emoji12]