Una mpango wa ku-date na mke wa mtu? Zingatia haya

7..usisahau kutembea na Vaseline..au kilainishi chochote.

Siku ukishikwa ugoni usiumie sana.
 
Kwa nini wake za watu labda? Vipi ikiwa huyo mke wa mtu atakaye zungumiziwa na mwingine awe ni mkeo.ungependa kusikia?
 
Ukiwa na mbinu huwezi kukamatwa, Nakula mke wa mtu, 3 years now..
1. Ana simu ndogo ambayo anaiacha ofisini tu na hiyo ni special kwa kuwasiliana na kufanya meeting,
2. Hakuna yeyote anayejua mahusiano yetu, hata wa kuhisi tu hakuna.
3. Kuonana ni siku ya mechi tu na hakuna kuacha foot step
4. Mumewe hanijui kabisa, Ila mi namjua A/Z.
nb: wanaume walevi asilimia kubwa ndo wanagongewa Sana wake zao.
 
Uwe unatembea na Mafuta ya Alizeti au Mgando ili kuwarahisishia wanaume watakapoanza kukuchakata utumbo mpana.
 
Kwani anasema uongo ndugu zangu?
 
Dunia bahati mbaya sana hainaga siri, unafikiri wanaofumaniwa huwa wanapenda?? Siku ikifika utafanya mistake ndogo sana mpaka unaweza kujitusi na utakamatwa na mafuta pembeni tena siku hizi nasikia wanatumia ya nazi kila la heri.
[emoji1787]
 
We jamaa umekaa kabisa kwa kulidhika ukaanzisha mada ya kufundisha watu namna ya kuzini na wake za watu?
 
Hata ikipita miaka kumi na ulitembea nae mwanaume akijua hakuachi.

Acha acha kabisa wake za watu.Stop disrespecting your fellow brothers.

UTAKUFA.
 
Mapenzi huwa hayajifichi mzee.ukitembea na mke wa mtu jamaa atajua tu.
Akijua utaishi kwamashaka na wasiwasi mwingi sana.
Ningesimulia kisa cha kweli ila sitafanya hivyo kwa sababu za kimaadili.
Niishie hapo
 
Dawa yako ipo jikoni inachemka, utakipata unachokitafuta.Mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…