Una mpango wa ku-date na mke wa mtu? Zingatia haya

Dunia bahati mbaya sana hainaga siri, unafikiri wanaofumaniwa huwa wanapenda?? Siku ikifika utafanya mistake ndogo sana mpaka unaweza kujitusi na utakamatwa na mafuta pembeni tena siku hizi nasikia wanatumia ya nazi kila la heri.
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…