Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Tukiacha hiyo mikopo.
Hivi laki 8 mtu anatoboaje kwa gharama hizi za maisha zinavyopanda kila siku?
Kuna watumishi wanaishi kwa taabu sana. 800k ina maana huyu mtu kwa siku analipwa 26,000/=
Huku ni kufundishana kuwa wezi na kuomba rushwa
Hivi laki 8 mtu anatoboaje kwa gharama hizi za maisha zinavyopanda kila siku?
Kuna watumishi wanaishi kwa taabu sana. 800k ina maana huyu mtu kwa siku analipwa 26,000/=
Huku ni kufundishana kuwa wezi na kuomba rushwa