pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Asilimia 99.9 tunakopa kwa ajili ya kujenga nyumba na kununua gari.Hakuna kitu kama hicho, nimefanya sana consultancies kwenye mabenki.
Hivi unafahamu UTT ni kitu gani? Unajua kwamba ipo chini ya wizara ya fedha?
Waajiriwa wengi hawana financial literary. Wanaishia kupoteza hizo pesa.