Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hivi laki 8 mtu anatoboaje kwa gharama hizi za maisha zinavyopanda kila siku?
Kumlipa mfanyakazi laki 8 ni unyonyajiLete Maneno...........................
By JK Wa Msoga Chalinze
Toka lini soko la Kariakoo Huwa linajitangaza kwa wakulima. Tafuta soko ndugu mkulimaTatizo hao UTT wenyewe hawajitangazi wako wapi! Unaweza kuta wako Dar tu je mtu wa Kigoma anawafikiaje? Unaweza kukuta wanasiasa wameelekeza pua zao hapo ukifika muda wa uchaguzi wanakomba kibuyu chote mwisho wa siku wanaleta kama zile za NSSF na the like
Ilani gani?😀😅🤣😃😁😁Ipo Kwenye Ilani
Chifu Championship yuko sahihi kabisa na mimi mwenyewe ni shuhuda wa utoaji wa siku 3-10 UTT.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa bana, haya wewe hawatakupa, ndio zimeenda hivyo😂Sijawahi kutoa kwa kweli toka niweke, but I doubt.
CCMIlani gani?
Halafu mikopo inawafanya waajiriwa wengi kuwa na hasira hasira, kila mtu wanamuona mmbaya hapo ujue makato ya mkopo yamechanganya maisha yamekua magumuWewe umeajiriwa lumumba unalipwa buku 7 ndio una akili? Watu wengi walioajiriwa wanaumia sana kwa hii mikopo wanachukua na kupoteza hizo pesa. Matokeo yake wanachukia kazi, wanapoteza ufanisi, kuwa wezi na hata kusumbua watu wawasaidie.
Mtu yeyote asiyeweza kudunduliza akafikisha kiasi fulani cha pesa bila kukitumia hawezi kufanikiwa hata apewe milioni 100. Pesa ina kanuni zake ndio maana masikini ni wengi.
Mkuu jiongezee maarifa kwenye uwekezaji wa UTT.Ikiwa hulijui jambo kaa kimya,hakuna mfuko UTT uliotoa faida chini ya 12% kwa mwaka wa fedha uliopita.UTT inalipa kuliko huko kwenye bond za serikali na benki.Sio kweli, bank nyingi stable kubwa Tanzania wanatoa deposit rate kuanzia 10%+.
Pili why upelele pesa zako UTT wakati unaweza kununua hati Fungani za serikalini ambazo sasa zinatoa riba nzuri tu.
Kupeleka pesa zako UTT ni kama unakua unacheza kamari, una bet wakati kuna vyanzo vingine vya kuwekeza vya uhakika ambavyo unaweka pesa zako ukaa kunywa juice na kuku kwa mrija mpunga unaingia bila jasho.
Kuhusu waajiriwa, watu hawatoki kwenye same background, mtu mwingine ndio kichwa cha familia, wanategemewa kubadilisha hali za nyumbani kwao sasa aache kukopa kisa ni maamuzi ya hivyo sio kweli.
Acha watu wakope watatue matatizo yao, ya huko mbele hayajulikani.
Mkuu hujui chochote kuhusu UTT,achana na maarifa yanayopatikana kwenye vijiwe vya kahawa.Ona ulivyo mpumbavu kutoa majibu ya jumla jumla.
Siwezi kubishana na wewe hapa hujui chochote. Usilete uzoefu wako wa saccos huko eti consultancy kwenye corporate world. Hujui chochote.
Wewe huna chochote unachojua kuhusu UTT ambacho mimi sikijui.Mkuu hujui chochote kuhusu UTT,achana na maarifa yanayopatikana kwenye vijiwe vya kahawa.
Haujawekeza Bali umetunza pesa isipotee, umewekeza 40M na mwaka mzima return yako ni 3.7M yaani 370,000 kwa mwezi!! Haifiki hata 10%Wewe kwanza ni muongo, mimi nina 40m+ liquid fund na ninapata around 370k kwa mwezi, haiwezekani wewe na 30m upate 467k.
UTT ni uwekezaji, ukiona haufai nenda kafanye biashara.
Aksee kumbe ukiweka milion mia mwisho wa mwaka faida million 14. Sii mchezo. Nipe ujanja ndugu yangu
Sasa tunaolipwa laki Tatu Kwa mwezi tusemaje?Kumlipa mfanyakazi laki 8 ni unyonyaji
Ndio mana wengi wanalazimika kuingia kwenye mikopo
Kulipwa 300k kwa mwezi ni sawa na 10k per day, saidia fundi kwa sasa analipwa 15k per day. Maisha ni kuchaguaSasa tunaolipwa laki Tatu Kwa mwezi tusemaje?