Una mtaji ila hauna pesa ya kodi ya fremu? Zijue biashara zisizohitaji fremu

Una mtaji ila hauna pesa ya kodi ya fremu? Zijue biashara zisizohitaji fremu

u have made a good elaboration bro but rememmber kwamba apart from kumiliki frem kuna challenge pia mfano

1.Kwny biashara ya gas sawa utaweka mitungi kibarazan kwako ile hujakaa sawa hujauza hata mmoja mara paap watu wa FIRE hawa hapa wanataka vibali. mara hujakaa sawa watu wa suti hawa hapa

2.hyo ya mkaa ndo kabisa mana maliasili wakiona tu gunia la mkaa nje tayari wanatia team wanaulizia vibali.

3.Halaf hyo ya udalali ina pesa ila sasa ni ya motooo assume umefanya hvo kama ulivosema hapo yaan umepata simu ya lak 5 ukauza laki saba manake kumbka yule ulomuuzia anakujua ww kama ndo mmiliki in case kikatokea chochote ww ndo utawajibika. sasa assume ile smu ikawa ya uwizi.... police wakaitrace na wakaikuta kwa huyo ulomuuzia ....na yy kakutaja ww....na ww kumtafta yule jamaa ambae ndo mmiliki unakuta jamaa anakukana. haya hyo n ndogo ....kuna magar yanaibwa kenya yanauzwa tz na yana kadi ma kila ktu but huwez jua kirahs yaan udalali usio na mawazo ni udalali wa nyumba na immobile assets.
ndio shida ya nyinyi wasomi, ndio maana huwa wengi wenu mnafeli sana katika biashara kwa sababu ya too much know
 
Ni good ideas ila hiyo ya mitungi ya gesi kwa kuanzia inahtaji mtaji kiasi gani
 
ifanye
+
ukiweka bidiii Hautojutia.
WW mwamba kiukweli ktk nyuzi zako za ujasiriamali huwa nakuelewaga sana aise..Katika dini yangu ya kiislam tunaamini mtu kama wewe una malipo makubwa sana kwa Mungu ,ima atakulipa hapa hapa duniani kupitia biashara zako au ukishakufa kama wewe ni Muumuni.Mkuu unafanya kazi kubwa sana japo huenda wewe mwenyewe usielewe ukubwa wa unachokifanya.Huwa nachunguza sana nyuzi zako na kiukweli hunaga roho kubwa yan unaeleza unachokijua na hufichi.
Mkuu haya unayoyaongea yanadumu daima na yanasomwa na wengi ila amini Mungu hatakuacha bure kwan anaona unachokifanya........Mungu akupe kila lililo zuri Mzee.
 
🙏 🙏 🙏

Na Mungu wangu atawapeni ninyi kila kitu mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake mtukufu katika Kristo Yesu.

Wafilipi 4:19

Ubarikiwe nawe pia SweetieLee
Nawaza kuhusu mobile games.. michezo ya watoto kwa shule mbali mbali ingawa fan yangu ni IT. Mawazo yako mkuu
 
WW mwamba kiukweli ktk nyuzi zako za ujasiriamali huwa nakuelewaga sana aise..Katika dini yangu ya kiislam tunaamini mtu kama wewe una malipo makubwa sana kwa Mungu ,ima atakulipa hapa hapa duniani kupitia biashara zako au ukishakufa kama wewe ni Muumuni.Mkuu unafanya kazi kubwa sana japo huenda wewe mwenyewe usielewe ukubwa wa unachokifanya.Huwa nachunguza sana nyuzi zako na kiukweli hunaga roho kubwa yan unaeleza unachokijua na hufichi.
Mkuu haya unayoyaongea yanadumu daima na yanasomwa na wengi ila amini Mungu hatakuacha bure kwan anaona unachokifanya........Mungu akupe kila lililo zuri Mzee.
Amen mkuu 🙏

Duniani si makazi yetu ya kudumu,kila tulichonacho tutakiacha hapa hapa

sina uwezo wa kugawa pesa kama walivyo wenye uwezo wengine,lakini

sitoshindwa saidia wengine kwakile ninachoona kwangu kilibadilisha maisha yangu

Tuzidi kubarikiwa sote mkuu,napokea yote uliyoniombea Asante na Mungu akubariki.
 
Mitungi ya gas hutakiwi kuuzia kwenye makazi ya watu kwa sababu ni hatari
Siku hizi watu wengi sana kinachowakwamisha sio kwamba hawana mitaji,wengi mitaji wanayo ila shida ni 1 tu inakuja kwenye suala la fremu wapi atapata pesa ya pango la chumba cha yeye kufanya biashara yake.

Fremu tunajua kila mtu bei zake zilivyo na kadri frem inavyokua sehemu yenye wateja ndio na Bei (kodi) inazidi kuwa kubwa, kwa waishio mijini wanaelewa kodi za fremu zilivyo za moto ambapo bei ya chini kabisa ni laki kwa mwezi.

Ubaya zaidi ni pale mwenye nyumba anapokwambia nyumba yake anapokea kodi kuanzia mwaka, wengine kodi miaka miwili, na kuendelea kutegemea na fremu ipo wapi na watu wanafika dau kiasi gani na ndio mwenye nyumba anavyokutandika za uso.

Turudi kwenye Mada leo nataka washirikisha biashara 7 ambazo hazihitaji fremu ila zinakuhitaji wewe tu na mtaji wako na kikubwa kingine inakuhitaji UTAYARI na MAAMUZI sio uwe tu na mtaji halafu uanze kusema "watanionaje, watanichukuliaje, si ntakuwa waajabu nk nk"

1. MITUNGI YA GESI

Hii biashara haitaki uwe na frem kule bara barani kwa sababu wateja wa hii bidhaaa karibia 90% hawapatikani huko ila wapo huku huku majumbani tulipo,watu wanaoweka biashara hii kule bara barani ni kwa sababu tu unakuta ana biashara zingine ambazo zinahitaji wapita njia,ila kama wewe una mtaji na unafikiria biashara hii ni chaguo lako

Kwa sababu utakaponunua mitungi yako lets say mitungi midogo ya kg 15 (minne) mikubwa size ya kati kg 38 (minne) then kwa siku ukabadilishia wateja gesi wateja wa nne yani mitungi midogo wawili mikubwa wawili.

Faida ya hii mitungi kwa mdogo ni 2000 mpk 3000 itategemea na wewe unauzaje (tufanye ni 2000) then mikubwa faida yake ni 6000 to 5000 itategemea na wewe vile vile unauzaje (tufanye ni 5000) so ukijumlisha wateja wako wa nne utapata 2000*2 + 5000*2 = 14,000 then chukua hiyo 14,000*30 = 420,000 hii itakua pesa yako isiyo na makato ya kodi wala nini yani unaikamata nzima nzima.

(Mtaji inategemea na unataka kuanza na mitungi mingapi)

2. MKAA

Hii biashara nayo haina mbwembwe ni suala la wewe kuangusha gunia mbele ya nyumba unayoishi then kupanga mkaa wako ndani ya mifuko na kishaa unarudi zako ndani kutulia ataetaka mkaa ataita "mkaaaaaaaa" ukiskia utatoka utaenda mpimia au mpatia mkaa wake kisha utarudi zako ndani.

Faida ya hii biashara siijui japo najua ina faida sana kwasababu nina jiko langu nilikuwa natuma wafanyakazi mkaa wa kupima nikawa sioni faida, ila tangu niwe nanunua mkaa kwa magunia faida naiona.

Hiyo maana yake ni kwamba mkaa una faida maana mkaa unauzwa wenyewe, chenga zinauzwa zenyewe, vumbi la mkaa linauzwa lenyewe.

Yaani hapo gunia utakalochukua sasa hivi lets say gunia la laki uhakika wa kukurudishia laki upo so itategemea na wewe unauza mkaa wako kwa speed kiasi gani.

(Mtaji wake itategemea na magunia mangapi unataka kuanza nayo)

3. MAJI

Unajua si kila sehemu kuna maji,na hata sehemu zenye maji si kila mtu ana vyombo vya ndani vya kujaza maji kama mandoo na majaba especialy mtu kama mimi nina allergy na mandoo mandoo sipendi kuona mandooo kwangu kabisa so kama unaishi sehemu maji yapo au hamna (japo hii nzuri kwa sehemu zenye shda ya maji au maji kukatika katika) na una ka hela kako kama ka laki 5 kamekaa tu,

Nenda kanunue tank lako la litre 2000 linauza kama 250,000 tu then lijengee hapo nnje kwenu kisha andika tank lako (maji yapo ndoo sh 200) then rudi zako ndani uchune, utasikia tu raia wataokuwa wanakuja, amini usiamini yale maji utauza tu (wala usiogope).

4. LUKU/GENERETA

Unapokuwa unaona watu wanalima wewe kama huwezi kulima, nenda kawauzie majembe walime then rudi zako tulia. Umeme ni changamoto sana hasa maeneo yenye masoko na wafanyabiashara wadogo wadogo wengi unakuta wengine wana utaratibu umeme wanawashiwa saa 12 jioni hadi 7 usiku.

Sehemu zingine ni majenereta nadhani hata wewe ni shahidi unaonaga majenereta huko usiku kwa wafanyabiashara.

Unaposikia jenereta ujue ni biashara ya mtu ile, anawawashia jenereta then anapitia 1000 kwa kila kichwa (hawa ni watumiaji taa tu) ila ana jenereta lingine kubwa kwa wenye mafriji na maduka kila kichwa kwa hawa watu anakula 5000, kwa hiyo unaweza ukaona jinsi hela watu wanaingiza.

Una hela yako ya jenereta kubwa nenda sehemu zenye biashara then waulize umeme wanatoa wapi kisha utawasikia jibu lao, wakikwambia ni shida wapelekee jenereta then kula pesa kwa kila mtu (mafuta weka mwenyewe)

Au unaweza ukaamua wavutia umeme LUKU mpya tanesco ni 321,000 unaweza kwenda kufanya mchakato wa umeme then ukawasambazia raia ukawa unakula pesa kila siku kwa kila ataetumia umeme wako.

5. M-PESA/TIGO PESA

Hii nayo inakuhitaji wewe na laini zako na pesa yako, unatafuta bango tu unalichora kisha unalieka hapo nje ya nyumba yenu unatafuta mwamvuli, kiti unaweka hapo kama vile unakaa kisha unaandika namba zako za simu in case mteja akija akupgie au akutext kisha unarudi zako ndani.

Mteja akija kwakuwa ni mtaani lazima akutext au akuite, utapiga hela si kidogo, ukishazoeleka utashangaa hela utazokuwa unaingiza (si kubwa sana ila si haba)

6. VIFAA VYA USAFI MAJUMBANI

Unachotakiwa kufanya hapa ni kutengeneza kamba kama ile ya kuanika nguo nyumbani kisha unaipgilia hapo nnje kwenu then huo mtaji ulionao hata kama ni laki mbili nenda town nunua mafagio, mopa, yale yakutolea bui bui, vidude vya chooni, vizolea taka,nk kisha tundika kwenye hiyo kamba yako kisha we nenda zako ndani tulia.

Wateja watakuja na kwakuwa unauza vitu vya matumizi ya kila siku amini usiamini utakua unafanya biashara ndani ya mwezi hela yako itakua imerudi then ukiangalia mzigo bado upo wa kutosha(ile ndio faida yako) unaweza ukauza ukatumia hela au ukfanya upendavyo.

Ila ni biashara inayolipa sana maana mfagio mmoja unauzwa 1000, ukiuza mfagio 3000 ina maana kwa kila mfagio faida yako 2000, haya Mungu saidia ukauza mifagio mitano utakuwa na 10,000 japo siku hazilingani unaweza usiuze hata hiyo mitano ukauza mmoja faida 2000 kwa mwezi ni 60,000

(ungeipata wapi hiyo 60 au angekupa nani bure?)

7. UDALALI

Hapa bwana mtaji ni simu yako au computer, zijue sites zote wanazouza vitu mbali mbali, iwe magari, simu nk. yaani ili mradi tu ni wauzaji wa hapa hapa Tanzania ingia hata huko Kupatana tafuta wauza vitu then wewe kazi yako ni kuzurula mitandaoni kutafuta wateja.

Ukiona mtu anatafuta "jamani mwenye simu ya iPhone 6 bajeti yangu
70,000" then wewe anza kutafuta hiyo iphone kwa mwenye nayo. Akipatikana mwambie una 50,000 then komaa nae akikubali rudi kwa mteja aliepost anatafuta iphone kwa 70,000 mwambie "unayo" kisha akikuomba picha na wewe unamuomba huyu huku unamtumia, akiridhika, akikwambia mpelekee, unatoka hapo unamfata yule jamaa uliemwambia una 50k unaenda unaikagua simu ukiona nzima unamwambia jamaa ukweli "bwana nina mteja wangu kaipenda simu yako nataka twende mimi nitakulipia nauli kwenda na kurudi (lazima akubali).

Mkienda kule wewe ndio unakuwa mwenye simu then mwenye simu anageuka rafiki yako au ndugu kakusindikiza, unafanya biashara.

Unachukua 70,000 yako then unampa jamaaa 50,000 yake nauli haizdi 3000 unampa DEAL DONE.

Kwa siku uza product 1 tu, kama ndio wengine wauza magari atahakikisha kwa mwezi kauza gari 1 tu maana gari 1 faida sio chini ya milioni au above laki 5.

Chukua inayokufaa. Usidharau maana wengine ndio wanaingiza hivyo pesa.

Ukiona chai au haiwezekani twenzetuni MMU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mitungi ya gas hutakiwi kuuzia kwenye makazi ya watu kwa sababu ni hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna biashara isiyo hatari,muuza duka haruhusiwi kuuza mafuta ya taa lakini ukienda kwa mangi utakuta mafuta ya taa anauza kupitia hayo faida anapata.

Huyo mangi angekua kasema afuta ya taa ni hatari kuuza leo hii wewe unaetafuta mafuta ya taa ukakoleze moto ungeyapata wapi? unatafuta mafuta ya taa ukachome takataka jalalani ungeyapata wapi?

Maji ya kandoro ni hatari kwa afya yako kwasababu yanawekwa kwenye vinailon bila usafi maji yanwekwa si mazuri lakini watu wananunua na muuzaji anapiga pesa,ila si kwamba yale maji ya kandoro ni mazuri kwa afya,ni hatari ten hatari kweli.

Mama ntilie anapika chakula,ushawahi ona mazingira anayopkia chakula? umeshawahi ona nyanya zinazopikiwa zile mboga zao? mkuuu n hatari tena hatari fire ila watu wanaishi kupitia u hatari huo huo.

Boda boda wanapakia mishkaki,unajua hatari za mishikaki? asee mkuu nataka tu kukwambia hakuna biashara isiyo na hatari na ukitafuta hizo biashara utazikuta kwenye shopping Mall tu,kule ndio kwenye usalama TU.

Huku madukani tunauziwa bidhaa fake na zilizo expire ila MUNGU tu ndio anatulinda, wewe ukikaa ukisema GESI ni hatari kwenye makazi ya watu kuna mwenzako upande wa pili anauza na anapiga pesa.
 
Uswahili sasa huu.. labda uuze bila vibali.. tatizo mtu unawekeza biashara ya kil 5 katika mazingira yasio faa, wakija siku wakakupora unaanza kulalamika.


Tumia kichwa
Hamna biashara isiyo hatari,muuza duka haruhusiwi kuuza mafuta ya taa lakini ukienda kwa mangi utakuta mafuta ya taa anauza kupitia hayo faida anapata.

Huyo mangi angekua kasema afuta ya taa ni hatari kuuza leo hii wewe unaetafuta mafuta ya taa ukakoleze moto ungeyapata wapi? unatafuta mafuta ya taa ukachome takataka jalalani ungeyapata wapi?

Maji ya kandoro ni hatari kwa afya yako kwasababu yanawekwa kwenye vinailon bila usafi maji yanwekwa si mazuri lakini watu wananunua na muuzaji anapiga pesa,ila si kwamba yale maji ya kandoro ni mazuri kwa afya,ni hatari ten hatari kweli.

Mama ntilie anapika chakula,ushawahi ona mazingira anayopkia chakula? umeshawahi ona nyanya zinazopikiwa zile mboga zao? mkuuu n hatari tena hatari fire ila watu wanaishi kupitia u hatari huo huo.

Boda boda wanapakia mishkaki,unajua hatari za mishikaki? asee mkuu nataka tu kukwambia hakuna biashara isiyo na hatari na ukitafuta hizo biashara utazikuta kwenye shopping Mall tu,kule ndio kwenye usalama TU.

Huku madukani tunauziwa bidhaa fake na zilizo expire ila MUNGU tu ndio anatulinda, wewe ukikaa ukisema GESI ni hatari kwenye makazi ya watu kuna mwenzako upande wa pili anauza na anapiga pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Container zinapatikanaje ndugu? Nahitaji aisee
 
Contena za hiyo bei zipo kweli ? Manake bei zimesimama balaa,
kontena zinapatikana kwa hiyo pesa mzee coz mimi kuna jamaa yng amenunua kwa laki saba tuh na iko vizuri hadi aliligawanya vipande viwili
 
in Business we are dealing with risks

unapofanya biashara yoyote hayo mambo uliyoyasema ni ya muhimu kuyajua na kuyafikiria ila siku zote nawambiaga watu

usiyape nafasi hayo mawazo yanapokuja kikubwa jitahidi ufanye kazi kwa bidii na ujue kuweka akiba cause any time kinanuka

mimi kuna sehemu natumaga vijana wangu wakafanye biashara kabisa na ni sehemu HAZIRUHUSIWI (sehemu hatari) ila nawambia nyie nendeni wakikukamateni nipigieni simu (wanaenda) wanapiga pesa hata 50,000 chap chap then unaskia kadakwa...

unamuuliza umeingiza sh ngap? anakwambia hapa tayari nina 50,000 unamwambia "tulia" mpe simu huyo aliyekushika,unaongea nae unampooza kwa 10,000 anamwachia (dogo anasepa) faida mfukoni 40,000..Can you see that?

How if ningeogopa nikidakwa itakua noma halafu nisiende fanya biashara eneo hilo,hiyo 40,000 ningeitoa wapi?? ndio yale yale tunaambiwa "uoga wako ndio umaskini wako"

Unajua kwanini wafanya biashara wa madawa ya kulevya wanadunda uraiani na wanajulikana?? Wakikwambia bajeti wanayoitenga kwa ajili tu ya kuhonga mapolisi unaweza ukashangaaa, why wanahonga?? They know wanachofanya si sahihi but ndipo pesa ilipo so watafanyaje sasa and they need money???

ndipo wanaamua hapo Anaanza kuhongwa kuanzia IGP mpk mwenye V moja mzigo wao unaingia biashara wanafanya kiulainiiiii...sasa wewe jichanganye WAIGE uone kitakacho kukuta.

kwa ufupi ndugu yangu unapoamua kuingia kwenye biashara elewa umeingia VITANI,huku sio kwenye ajira,vitani unaweza kuwa na silaha zote ila na bado ukaenda ukarudi huna mguu,ndio mana wanajeshi siku hizi hawana ujinga wa kufa kufa,wanaenda vitani na wanarudi woteee (usitake kujua kinachofanyika huko vitani,acha kabisa)

Hii nchi ina wenyewe ndugu yangu,haya mabiashara tunayafanya tu ila usijiamini sanaaaaaaa hata kama una maleseni umejaza ukuta mzima,vibali vyoteeeee atakuja mtu mmoja tu atakutafutia sababu na hela itakutoka.

SO jiamini na elewa uko vitani na usiogope mtu pambana ya hela yote,MJINI inaongea PESA tu midomo siku hizi mapambo muraaaaa. King999
Siku hizi watu wengi sana kinachowakwamisha sio kwamba hawana mitaji,wengi mitaji wanayo ila shida ni 1 tu inakuja kwenye suala la fremu wapi atapata pesa ya pango la chumba cha yeye kufanya biashara yake.

Fremu tunajua kila mtu bei zake zilivyo na kadri frem inavyokua sehemu yenye wateja ndio na Bei (kodi) inazidi kuwa kubwa, kwa waishio mijini wanaelewa kodi za fremu zilivyo za moto ambapo bei ya chini kabisa ni laki kwa mwezi.

Ubaya zaidi ni pale mwenye nyumba anapokwambia nyumba yake anapokea kodi kuanzia mwaka, wengine kodi miaka miwili, na kuendelea kutegemea na fremu ipo wapi na watu wanafika dau kiasi gani na ndio mwenye nyumba anavyokutandika za uso.

Turudi kwenye Mada leo nataka washirikisha biashara 7 ambazo hazihitaji fremu ila zinakuhitaji wewe tu na mtaji wako na kikubwa kingine inakuhitaji UTAYARI na MAAMUZI sio uwe tu na mtaji halafu uanze kusema "watanionaje, watanichukuliaje, si ntakuwa waajabu nk nk"

1. MITUNGI YA GESI

Hii biashara haitaki uwe na frem kule bara barani kwa sababu wateja wa hii bidhaaa karibia 90% hawapatikani huko ila wapo huku huku majumbani tulipo,watu wanaoweka biashara hii kule bara barani ni kwa sababu tu unakuta ana biashara zingine ambazo zinahitaji wapita njia,ila kama wewe una mtaji na unafikiria biashara hii ni chaguo lako

Kwa sababu utakaponunua mitungi yako lets say mitungi midogo ya kg 15 (minne) mikubwa size ya kati kg 38 (minne) then kwa siku ukabadilishia wateja gesi wateja wa nne yani mitungi midogo wawili mikubwa wawili.

Faida ya hii mitungi kwa mdogo ni 2000 mpk 3000 itategemea na wewe unauzaje (tufanye ni 2000) then mikubwa faida yake ni 6000 to 5000 itategemea na wewe vile vile unauzaje (tufanye ni 5000) so ukijumlisha wateja wako wa nne utapata 2000*2 + 5000*2 = 14,000 then chukua hiyo 14,000*30 = 420,000 hii itakua pesa yako isiyo na makato ya kodi wala nini yani unaikamata nzima nzima.

(Mtaji inategemea na unataka kuanza na mitungi mingapi)

2. MKAA

Hii biashara nayo haina mbwembwe ni suala la wewe kuangusha gunia mbele ya nyumba unayoishi then kupanga mkaa wako ndani ya mifuko na kishaa unarudi zako ndani kutulia ataetaka mkaa ataita "mkaaaaaaaa" ukiskia utatoka utaenda mpimia au mpatia mkaa wake kisha utarudi zako ndani.

Faida ya hii biashara siijui japo najua ina faida sana kwasababu nina jiko langu nilikuwa natuma wafanyakazi mkaa wa kupima nikawa sioni faida, ila tangu niwe nanunua mkaa kwa magunia faida naiona.

Hiyo maana yake ni kwamba mkaa una faida maana mkaa unauzwa wenyewe, chenga zinauzwa zenyewe, vumbi la mkaa linauzwa lenyewe.

Yaani hapo gunia utakalochukua sasa hivi lets say gunia la laki uhakika wa kukurudishia laki upo so itategemea na wewe unauza mkaa wako kwa speed kiasi gani.

(Mtaji wake itategemea na magunia mangapi unataka kuanza nayo)

3. MAJI

Unajua si kila sehemu kuna maji,na hata sehemu zenye maji si kila mtu ana vyombo vya ndani vya kujaza maji kama mandoo na majaba especialy mtu kama mimi nina allergy na mandoo mandoo sipendi kuona mandooo kwangu kabisa so kama unaishi sehemu maji yapo au hamna (japo hii nzuri kwa sehemu zenye shda ya maji au maji kukatika katika) na una ka hela kako kama ka laki 5 kamekaa tu,

Nenda kanunue tank lako la litre 2000 linauza kama 250,000 tu then lijengee hapo nnje kwenu kisha andika tank lako (maji yapo ndoo sh 200) then rudi zako ndani uchune, utasikia tu raia wataokuwa wanakuja, amini usiamini yale maji utauza tu (wala usiogope).

4. LUKU/GENERETA

Unapokuwa unaona watu wanalima wewe kama huwezi kulima, nenda kawauzie majembe walime then rudi zako tulia. Umeme ni changamoto sana hasa maeneo yenye masoko na wafanyabiashara wadogo wadogo wengi unakuta wengine wana utaratibu umeme wanawashiwa saa 12 jioni hadi 7 usiku.

Sehemu zingine ni majenereta nadhani hata wewe ni shahidi unaonaga majenereta huko usiku kwa wafanyabiashara.

Unaposikia jenereta ujue ni biashara ya mtu ile, anawawashia jenereta then anapitia 1000 kwa kila kichwa (hawa ni watumiaji taa tu) ila ana jenereta lingine kubwa kwa wenye mafriji na maduka kila kichwa kwa hawa watu anakula 5000, kwa hiyo unaweza ukaona jinsi hela watu wanaingiza.

Una hela yako ya jenereta kubwa nenda sehemu zenye biashara then waulize umeme wanatoa wapi kisha utawasikia jibu lao, wakikwambia ni shida wapelekee jenereta then kula pesa kwa kila mtu (mafuta weka mwenyewe)

Au unaweza ukaamua wavutia umeme LUKU mpya tanesco ni 321,000 unaweza kwenda kufanya mchakato wa umeme then ukawasambazia raia ukawa unakula pesa kila siku kwa kila ataetumia umeme wako.

5. M-PESA/TIGO PESA

Hii nayo inakuhitaji wewe na laini zako na pesa yako, unatafuta bango tu unalichora kisha unalieka hapo nje ya nyumba yenu unatafuta mwamvuli, kiti unaweka hapo kama vile unakaa kisha unaandika namba zako za simu in case mteja akija akupgie au akutext kisha unarudi zako ndani.

Mteja akija kwakuwa ni mtaani lazima akutext au akuite, utapiga hela si kidogo, ukishazoeleka utashangaa hela utazokuwa unaingiza (si kubwa sana ila si haba)

6. VIFAA VYA USAFI MAJUMBANI

Unachotakiwa kufanya hapa ni kutengeneza kamba kama ile ya kuanika nguo nyumbani kisha unaipgilia hapo nnje kwenu then huo mtaji ulionao hata kama ni laki mbili nenda town nunua mafagio, mopa, yale yakutolea bui bui, vidude vya chooni, vizolea taka,nk kisha tundika kwenye hiyo kamba yako kisha we nenda zako ndani tulia.

Wateja watakuja na kwakuwa unauza vitu vya matumizi ya kila siku amini usiamini utakua unafanya biashara ndani ya mwezi hela yako itakua imerudi then ukiangalia mzigo bado upo wa kutosha(ile ndio faida yako) unaweza ukauza ukatumia hela au ukfanya upendavyo.

Ila ni biashara inayolipa sana maana mfagio mmoja unauzwa 1000, ukiuza mfagio 3000 ina maana kwa kila mfagio faida yako 2000, haya Mungu saidia ukauza mifagio mitano utakuwa na 10,000 japo siku hazilingani unaweza usiuze hata hiyo mitano ukauza mmoja faida 2000 kwa mwezi ni 60,000

(ungeipata wapi hiyo 60 au angekupa nani bure?)

7. UDALALI

Hapa bwana mtaji ni simu yako au computer, zijue sites zote wanazouza vitu mbali mbali, iwe magari, simu nk. yaani ili mradi tu ni wauzaji wa hapa hapa Tanzania ingia hata huko Kupatana tafuta wauza vitu then wewe kazi yako ni kuzurula mitandaoni kutafuta wateja.

Ukiona mtu anatafuta "jamani mwenye simu ya iPhone 6 bajeti yangu
70,000" then wewe anza kutafuta hiyo iphone kwa mwenye nayo. Akipatikana mwambie una 50,000 then komaa nae akikubali rudi kwa mteja aliepost anatafuta iphone kwa 70,000 mwambie "unayo" kisha akikuomba picha na wewe unamuomba huyu huku unamtumia, akiridhika, akikwambia mpelekee, unatoka hapo unamfata yule jamaa uliemwambia una 50k unaenda unaikagua simu ukiona nzima unamwambia jamaa ukweli "bwana nina mteja wangu kaipenda simu yako nataka twende mimi nitakulipia nauli kwenda na kurudi (lazima akubali).

Mkienda kule wewe ndio unakuwa mwenye simu then mwenye simu anageuka rafiki yako au ndugu kakusindikiza, unafanya biashara.

Unachukua 70,000 yako then unampa jamaaa 50,000 yake nauli haizdi 3000 unampa DEAL DONE.

Kwa siku uza product 1 tu, kama ndio wengine wauza magari atahakikisha kwa mwezi kauza gari 1 tu maana gari 1 faida sio chini ya milioni au above laki 5.

Chukua inayokufaa. Usidharau maana wengine ndio wanaingiza hivyo pesa.

Ukiona chai au haiwezekani twenzetuni MMU.
vipi kuhusu biashara ya chipsi mkuu, nipe mwongozo kidogo
 
Siku hizi watu wengi sana kinachowakwamisha sio kwamba hawana mitaji,wengi mitaji wanayo ila shida ni 1 tu inakuja kwenye suala la fremu wapi atapata pesa ya pango la chumba cha yeye kufanya biashara yake.

Fremu tunajua kila mtu bei zake zilivyo na kadri frem inavyokua sehemu yenye wateja ndio na Bei (kodi) inazidi kuwa kubwa, kwa waishio mijini wanaelewa kodi za fremu zilivyo za moto ambapo bei ya chini kabisa ni laki kwa mwezi.

Ubaya zaidi ni pale mwenye nyumba anapokwambia nyumba yake anapokea kodi kuanzia mwaka, wengine kodi miaka miwili, na kuendelea kutegemea na fremu ipo wapi na watu wanafika dau kiasi gani na ndio mwenye nyumba anavyokutandika za uso.

Turudi kwenye Mada leo nataka washirikisha biashara 7 ambazo hazihitaji fremu ila zinakuhitaji wewe tu na mtaji wako na kikubwa kingine inakuhitaji UTAYARI na MAAMUZI sio uwe tu na mtaji halafu uanze kusema "watanionaje, watanichukuliaje, si ntakuwa waajabu nk nk"

1. MITUNGI YA GESI

Hii biashara haitaki uwe na frem kule bara barani kwa sababu wateja wa hii bidhaaa karibia 90% hawapatikani huko ila wapo huku huku majumbani tulipo,watu wanaoweka biashara hii kule bara barani ni kwa sababu tu unakuta ana biashara zingine ambazo zinahitaji wapita njia,ila kama wewe una mtaji na unafikiria biashara hii ni chaguo lako

Kwa sababu utakaponunua mitungi yako lets say mitungi midogo ya kg 15 (minne) mikubwa size ya kati kg 38 (minne) then kwa siku ukabadilishia wateja gesi wateja wa nne yani mitungi midogo wawili mikubwa wawili.

Faida ya hii mitungi kwa mdogo ni 2000 mpk 3000 itategemea na wewe unauzaje (tufanye ni 2000) then mikubwa faida yake ni 6000 to 5000 itategemea na wewe vile vile unauzaje (tufanye ni 5000) so ukijumlisha wateja wako wa nne utapata 2000*2 + 5000*2 = 14,000 then chukua hiyo 14,000*30 = 420,000 hii itakua pesa yako isiyo na makato ya kodi wala nini yani unaikamata nzima nzima.

(Mtaji inategemea na unataka kuanza na mitungi mingapi)

2. MKAA

Hii biashara nayo haina mbwembwe ni suala la wewe kuangusha gunia mbele ya nyumba unayoishi then kupanga mkaa wako ndani ya mifuko na kishaa unarudi zako ndani kutulia ataetaka mkaa ataita "mkaaaaaaaa" ukiskia utatoka utaenda mpimia au mpatia mkaa wake kisha utarudi zako ndani.

Faida ya hii biashara siijui japo najua ina faida sana kwasababu nina jiko langu nilikuwa natuma wafanyakazi mkaa wa kupima nikawa sioni faida, ila tangu niwe nanunua mkaa kwa magunia faida naiona.

Hiyo maana yake ni kwamba mkaa una faida maana mkaa unauzwa wenyewe, chenga zinauzwa zenyewe, vumbi la mkaa linauzwa lenyewe.

Yaani hapo gunia utakalochukua sasa hivi lets say gunia la laki uhakika wa kukurudishia laki upo so itategemea na wewe unauza mkaa wako kwa speed kiasi gani.

(Mtaji wake itategemea na magunia mangapi unataka kuanza nayo)

3. MAJI

Unajua si kila sehemu kuna maji,na hata sehemu zenye maji si kila mtu ana vyombo vya ndani vya kujaza maji kama mandoo na majaba especialy mtu kama mimi nina allergy na mandoo mandoo sipendi kuona mandooo kwangu kabisa so kama unaishi sehemu maji yapo au hamna (japo hii nzuri kwa sehemu zenye shda ya maji au maji kukatika katika) na una ka hela kako kama ka laki 5 kamekaa tu,

Nenda kanunue tank lako la litre 2000 linauza kama 250,000 tu then lijengee hapo nnje kwenu kisha andika tank lako (maji yapo ndoo sh 200) then rudi zako ndani uchune, utasikia tu raia wataokuwa wanakuja, amini usiamini yale maji utauza tu (wala usiogope).

4. LUKU/GENERETA

Unapokuwa unaona watu wanalima wewe kama huwezi kulima, nenda kawauzie majembe walime then rudi zako tulia. Umeme ni changamoto sana hasa maeneo yenye masoko na wafanyabiashara wadogo wadogo wengi unakuta wengine wana utaratibu umeme wanawashiwa saa 12 jioni hadi 7 usiku.

Sehemu zingine ni majenereta nadhani hata wewe ni shahidi unaonaga majenereta huko usiku kwa wafanyabiashara.

Unaposikia jenereta ujue ni biashara ya mtu ile, anawawashia jenereta then anapitia 1000 kwa kila kichwa (hawa ni watumiaji taa tu) ila ana jenereta lingine kubwa kwa wenye mafriji na maduka kila kichwa kwa hawa watu anakula 5000, kwa hiyo unaweza ukaona jinsi hela watu wanaingiza.

Una hela yako ya jenereta kubwa nenda sehemu zenye biashara then waulize umeme wanatoa wapi kisha utawasikia jibu lao, wakikwambia ni shida wapelekee jenereta then kula pesa kwa kila mtu (mafuta weka mwenyewe)

Au unaweza ukaamua wavutia umeme LUKU mpya tanesco ni 321,000 unaweza kwenda kufanya mchakato wa umeme then ukawasambazia raia ukawa unakula pesa kila siku kwa kila ataetumia umeme wako.

5. M-PESA/TIGO PESA

Hii nayo inakuhitaji wewe na laini zako na pesa yako, unatafuta bango tu unalichora kisha unalieka hapo nje ya nyumba yenu unatafuta mwamvuli, kiti unaweka hapo kama vile unakaa kisha unaandika namba zako za simu in case mteja akija akupgie au akutext kisha unarudi zako ndani.

Mteja akija kwakuwa ni mtaani lazima akutext au akuite, utapiga hela si kidogo, ukishazoeleka utashangaa hela utazokuwa unaingiza (si kubwa sana ila si haba)

6. VIFAA VYA USAFI MAJUMBANI

Unachotakiwa kufanya hapa ni kutengeneza kamba kama ile ya kuanika nguo nyumbani kisha unaipgilia hapo nnje kwenu then huo mtaji ulionao hata kama ni laki mbili nenda town nunua mafagio, mopa, yale yakutolea bui bui, vidude vya chooni, vizolea taka,nk kisha tundika kwenye hiyo kamba yako kisha we nenda zako ndani tulia.

Wateja watakuja na kwakuwa unauza vitu vya matumizi ya kila siku amini usiamini utakua unafanya biashara ndani ya mwezi hela yako itakua imerudi then ukiangalia mzigo bado upo wa kutosha(ile ndio faida yako) unaweza ukauza ukatumia hela au ukfanya upendavyo.

Ila ni biashara inayolipa sana maana mfagio mmoja unauzwa 1000, ukiuza mfagio 3000 ina maana kwa kila mfagio faida yako 2000, haya Mungu saidia ukauza mifagio mitano utakuwa na 10,000 japo siku hazilingani unaweza usiuze hata hiyo mitano ukauza mmoja faida 2000 kwa mwezi ni 60,000

(ungeipata wapi hiyo 60 au angekupa nani bure?)

7. UDALALI

Hapa bwana mtaji ni simu yako au computer, zijue sites zote wanazouza vitu mbali mbali, iwe magari, simu nk. yaani ili mradi tu ni wauzaji wa hapa hapa Tanzania ingia hata huko Kupatana tafuta wauza vitu then wewe kazi yako ni kuzurula mitandaoni kutafuta wateja.

Ukiona mtu anatafuta "jamani mwenye simu ya iPhone 6 bajeti yangu
70,000" then wewe anza kutafuta hiyo iphone kwa mwenye nayo. Akipatikana mwambie una 50,000 then komaa nae akikubali rudi kwa mteja aliepost anatafuta iphone kwa 70,000 mwambie "unayo" kisha akikuomba picha na wewe unamuomba huyu huku unamtumia, akiridhika, akikwambia mpelekee, unatoka hapo unamfata yule jamaa uliemwambia una 50k unaenda unaikagua simu ukiona nzima unamwambia jamaa ukweli "bwana nina mteja wangu kaipenda simu yako nataka twende mimi nitakulipia nauli kwenda na kurudi (lazima akubali).

Mkienda kule wewe ndio unakuwa mwenye simu then mwenye simu anageuka rafiki yako au ndugu kakusindikiza, unafanya biashara.

Unachukua 70,000 yako then unampa jamaaa 50,000 yake nauli haizdi 3000 unampa DEAL DONE.

Kwa siku uza product 1 tu, kama ndio wengine wauza magari atahakikisha kwa mwezi kauza gari 1 tu maana gari 1 faida sio chini ya milioni au above laki 5.

Chukua inayokufaa. Usidharau maana wengine ndio wanaingiza hivyo pesa.

Ukiona chai au haiwezekani twenzetuni MMU.
Vipi Mkuu kuhusu kuuza Ubuyu kwa reja reja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi Mkuu kuhusu kuuza Ubuyu kwa reja reja?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubuyu sifahamu kabisa kuhusu hiyo biashara,ninachoamini katka biashara Hakuna biashara isiyo na Faida ubuyu unafaa sana kuuza reja reja ila si kwenye makazi yetu huku nyumbani.

Hiyo biashara naamini ina faida na haitaki frem lakini wateja wa hiyo biashara ni wanafunzi wa primary,hapo muuzaji anatakiwa akatege maeneo penye mikusanyiko ya watoto watoto n biashara nzuri naamini.

ila kuuza buyu kwa mtu wa nyumbani sidhani kwakweli na si ubuyu tu ila biashara zote za kula kula kama ubuyu,karanga,crips,nk simshauri mtu auzie nyumban hzo n biashara za kumfata mlaji direct na sio kumsubiri aje anunue.
 
Back
Top Bottom