National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
degeree ndio unaita ka cert π π πHapana Nina kacertificate ka mchongo lkn Nina check no hivo nafikiria kubadili kozi badae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
degeree ndio unaita ka cert π π πHapana Nina kacertificate ka mchongo lkn Nina check no hivo nafikiria kubadili kozi badae
Wakat wa Mungu ndio wakat sahihi usikate tamaa mm nimesota mtaani 5 yrs nikatoboa siku ambayo sikutegemea na sikuwa na mpango Tena wa ajira nilikuwa na mishe zangu mtaani Tena had application mdogowangu ndo alinifanyia sikuwa na mpango kabisa ila kumbe Ilikuwa ndo sikuyanguπ π π nimekomaa sana aunt hadi nimekuwa kama kibaka wa simu
Inapoishia elimu, ndipo ulozi unaanza sasa π π πDuuh naomba Mungu haya maisha yanipiteeee mbali kabisa
Ila sawa mkuu all de best ππππ na huko kulogAna
mimi nimesoma TEKU pale baada ya kupata DIVISHENI FOO ya FOM FOO.Hapana Nina kacertificate ka mchongo lkn Nina check no hivo nafikiria kubadili kozi badae
Sasa aunt miaka mitano, mie paka sasa hivi nina miaka 13 kibindoni ya kusota π π π mtoto anaanza la kwanza hadi amemaliza mzee baba nasugua gagaWakat wa Mungu ndio wakat sahihi usikate tamaa mm nimesota mtaani 5 yrs nikatoboa siku ambayo sikutegemea na sikuwa na mpango Tena wa ajira nilikuwa na mishe zangu mtaani Tena had application mdogowangu ndo alinifanyia sikuwa na mpango kabisa ila kumbe Ilikuwa ndo sikuyangu
Kumbe mkuu, tumepiga chuo kimoja..mimi nimesoma TEKU pale baada ya kupata DIVISHENI FOO ya FOM FOO.
Ndo maana unajiita divisheni foomimi nimesoma TEKU pale baada ya kupata DIVISHENI FOO ya FOM FOO.
Sio bongo hiyo mkuuu eti uhonge upata degreee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha watu wanataka skills na unapimwa kweli kweli unadhani NASA utaenda na degree ya mchongo ya astrophysicist [emoji81][emoji81]Hivi hakuna degree ya mchongo kutoka Havard?
Degree wapi aunt πdegeree ndio unaita ka cert π π π
Dah! Ulikuwa kozi gani pale?Kumbe mkuu, tumepiga chuo kimoja..
πππmimi nimesoma TEKU pale baada ya kupata DIVISHENI FOO ya FOM FOO.
DIVISHENI FOO nimelala FOFOFO nikiota RAVA FOO.Ndo maana unajiita divisheni foo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Havard ni vitu viwili tu
1. HELA
2. AKILI (hii ni kwa watu wa dunia ya 3 ikiwemo Tanzania)
Huna digriii?Degree wapi aunt [emoji23]
Kumbe Sasa sisi wa la Saba B ndo vile tenaHavard wanapenda watu wenye achievement zinazoonekana wazi.
Mfano diamond akiomba nafasi havard kusomea mambo ya music nafasi wanampa bila shida. Maana tuzo zake tu alizopata kwenye music zinambeba.
Millard ayo akiomba kusomea uandishi habari havard. Nafasi ana uhakika wa kuipata. Huku mwanafunzi ambaye amepata div 1 kalii ananyimwa nafasi wa hiyo kozi
Extracallicular activities zina mchango mkubwa kupata nafasi vyuo vikuu vya ivy league kuliko performance ya darasani alone.
Tofauti na udsm wao wanaangalia maksi za darasani tu
Yaani Acha tu mm ndo la Saba B wengine mna madegree najisikiaga unyonge kweli YanπHuna digriii?
Watu wote wa jamiiforums tuna digrii kasoro wewe tu!
Kumbe Sasa sisi wa la Saba B ndo vile tena
Haya mfamasia π πDegree wapi aunt π
Nenda TEKU ukatunukiwe DIGRII uwe na hadhi kama mimi.Yaani Acha tu mm ndo la Saba B wengine mna madegree najisikiaga unyonge kweli Yan[emoji3]