DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
La saba ulipata maksi ngapi?Kumbe Sasa sisi wa la Saba B ndo vile tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La saba ulipata maksi ngapi?Kumbe Sasa sisi wa la Saba B ndo vile tena
Kumbe mm nilikuwa napendasana physical education na sports science na nilikuwa vizuri kwenye practice za michezo ila sikuwa na akil😀sikufaulu biology😂Muwe na kipaji. Kuna watu wanapewa nafasi vyuo vikuu vikubwa marekani tena kwa scholarships huku hawajui kusoma wala kuandika vizuri.
Ubora wao kwenye sports na extra callicular ndio sababu ya kupewa hizo nafasi
Nimesahau lakin nakumbuka hesabu 50 nilikuwa napata 15😀La saba ulipata maksi ngapi?
Wasomi wa mahesabu 😅😅Nimesahau lakin nakumbuka hesabu 50 nilikuwa napata 15😀
eeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimesahau lakin nakumbuka hesabu 50 nilikuwa napata 15[emoji3]
Babaangu akaniunulia jipime la hisabat Yan nachukua maswali nasolve na nasahihisha na majibu yapo mule ndo kidogo nikawa napata angalau 20 had 25 ya 50 😂😂😂na kitabu nalala nacho ndani😂Wasomi wa mahesabu 😅😅
Hesabu ni habari nyingine upande wangu ndo nikasome havard kweli aunt nisome tu mapishi aisee😂😂😂Wasomi wa mahesabu 😅😅
Nahisi nilipata F ya sifuri 😅😅😅Babaangu akaniunulia jipime la hisabat Yan nachukua maswali nasolve na nasahihisha na majibu yapo mule ndo kidogo nikawa napata angalau 20 had 25 ya 50 😂😂😂na kitabu nalala nacho ndani😂
Kumbe mm nilikuwa napendasana physical education na sports science na nilikuwa vizuri kwenye practice za michezo ila sikuwa na akil😀sikufaulu biology😂
NaelewaSio michezo ya kuishia mitaani mitaani.
Kama ni mpira ama basketball ufikie levo ya kucheza timu ya taifa .
Mfano wachezaji wa timu ya taifa ya vijana under 20 wale waliocheza kombe la dunia . Watu kama wale ndie wanapaswa kuomba nafasi ya kusoma vyuo vikubwa duniani kupitia michezo.
Kama unakimbia riadha uwe levo za kuwakilisha nchi yako kwenye olimpic
Maarifa ya Jamii ulifaulu?Babaangu akaniunulia jipime la hisabat Yan nachukua maswali nasolve na nasahihisha na majibu yapo mule ndo kidogo nikawa napata angalau 20 had 25 ya 50 [emoji23][emoji23][emoji23]na kitabu nalala nacho ndani[emoji23]
Angalau kidogo maarifa ya jamii😂Maarifa ya Jamii ulifaulu?
Siyo kila aliyemaliza la saba anajuwa alipata maksi ngapi, binafsi sijui maksi nilizopata.La saba ulipata maksi ngapi?
Chuo ambacho kilikuwa kinanitoa udendaa.. kwa marekani ni Stanford University basi.. ila ndio ivyo nimeishia kusoma zangu TEKU tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ulikosa hata UDOM.Teofilo Kisanji University, nimepiga zangu pale Human Resource Management, ila paka leo mie mwenyewe sijaajiliwa na sina wa kumuajiri 😅😅😅😅 Taabu sana- Mbeyaa moyaa
Taasis ya Elimu Kata ya Uyole(TEKU)Hivi teku ni chuo kipi mbona kinasengenywaga sana 😹
😅😅😅 tatizo pass mark mzeeUlikosa hata UDOM.
Hiki si ndo cha mwisho mwisho ati.😅😅😅 tatizo pass mark mzee
bwanaaa weee kikubwa degreee tu😅😅Hiki si ndo cha mwisho mwisho ati.
Ambayo Babu Tale anayo bila kugusa darasa.bwanaaa weee kikubwa degreee tu😅😅