Una nyoa baada ya muda gani?

Kila baada ya siku mbili
 
Tangu nizaliwe sjawah nyolewa, wazaz hawakuninyoa mpk sasa na me sion haja ya kuwa nanyoa tupo tunanywele zetu tangu kuzaliwa 😊.



Nazpenda pia😊
 
Nilinyoa mwaka Jana mwezi January..sidhani Kama nitanyoa tena

Naendelea kusoma comments
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…