Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
- #21
Watueleze....Mimi ni Rastafarian so nyie msiopenda nywele sababu kubwa ni ipi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watueleze....Mimi ni Rastafarian so nyie msiopenda nywele sababu kubwa ni ipi??
Nywele zina kazi gani kwa mtoto wa kiume..?Mimi ni Rastafarian so nyie msiopenda nywele sababu kubwa ni ipi??
Kila baada ya siku mbiliSwali kwenu wabobezi na watafiti wa hili jukwaa....
Huwa una shave shamba la kufugia nywelw/kubebea meno (I mean kichwa cha juu) kila baada ya muda gani?
Ni wiki, wiki 2 ,mwezi au mwaka?
Binafs kwangu kunyoa naonaga karaha sana.......
Ukiona nimeenda saluni ujue masikio tayar yashafunikwa na nywele hayaonekani......
NaweA kuvuta hata 2 months....
Tuambie wewe unazifugaga mda gani
Ramadhan Kareem
Uzi tayar
Mkuu kama hazina kazi zingeota??Nywele zina kazi gani kwa mtoto wa kiume..?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipara kinampa mawazo sana huyu mwambaMkuu kama hazina kazi zingeota??
Upiga pale pale. Upate Uteuzi.It means unamaanisha kuwa Kunyoa ni Anasa
Tangu nizaliwe sjawah nyolewa, wazaz hawakuninyoa mpk sasa na me sion haja ya kuwa nanyoa tupo tunanywele zetu tangu kuzaliwa 😊.
Nazpenda pia😊
We nae unakomaa kuuliza amesema nywele za kichwa cha juuMkuu ungenifahamisha tu umemanisha nywele za wapi