Ellerie Bexley
Member
- Feb 6, 2025
- 29
- 67
Kila la kheri mkuu maana maisha hayashaurikiHi.
Ushauri gani unaweza kumpa binti aliye in her early 20s ambaye anajiandaa kuhamia mji mkubwa kwa mara ya kwanza, kujihusisha na kazi ya waitress asiye na exposure ya maisha yoyote? Anajiandaa kuishi mbali na wazazi, kukutana na mazingira mapya, watu wapya, marafiki wapya, na hali mpya, ikiwa ni pamoja na kukutana na different men and women from different places, kukutana na watu wabaya na wema, watu wa asili tofauti
Ushauri wenu utasaidia
AsanteKila la kheri mkuu maana maisha hayashauriki
Nimeweka akiliniPesa zipo tu. Uache tamaa kuna msemo unasema rudi nyumbani na zawadi usirudi na UKIMWI
AlrightAvoid men
Thank youNakazia maneno ya watu huko juu .
Mwambie Aogope wanaume
AsanteOgopa sana wanaume π«
Usikubali kuzalishwa katika umri mdogo π π½ββοΈ
Focus na kazi yako, jiwekee malengo na weka bidii kuyafikia.
Mwana kulitafuta mwana kulipata!ikiwa ni pamoja na kukutana na different men and women..
Nimepokea huu ujumbeMwana kulitafuta mwana kulipata!
Hapo kwenye "kukutana na men" huwezi kuwa na ujanja.
Nakushauri ujitahidi usiwe cha wote tu
Kenya capital cityunaenda jiji gani mkuu
Umemnaanisha niniKizuri chajiuza kibaya chajitembeza, kama we ni mzuri njoo lazima tukununue
Ukiona vyaelea jua vimeundwa kama unavitaka kuwa mwepesi na wewe uelee navyo usizame
Anyways wadada hamshauriki
...
Aje auze matunda na tunda lake walaji tupo
Formerly underscore itembe
awe makini mjini mahindi hayaotiUmemnaanisha nini