Una ushauri gani kwa kijana anayetafuta mafanikio ya kiuchumi na ya mahusiano?

Una ushauri gani kwa kijana anayetafuta mafanikio ya kiuchumi na ya mahusiano?

Ukisema uingie kwenye mahusiano wakati bado unajitafuta itakugharimu fedha ambayo ungeipeleka kwenye mambo ya msingi na ukisema ujitafute kwanza wanawake watakuja kwako wapate security tu ila sio mapenzi. Haya mambo ni kizungumkuti, ila bora ujitafute kwanza ndio uupoe mwali lakini akikisha hautumii pesa kama chambo ya kumpata ikiwezekana mpitishe kwenye majaribu ya hali ngumu kiuchumi ili kumpima kwanza.
 
Ukisema uingie kwenye mahusiano wakati bado unajitafuta itakugharimu fedha ambayo ungeipeleka kwenye mambo ya msingi na ukisema ujitafute kwanza wanawake watakuja kwako wapate security tu ila sio mapenzi. Haya mambo ni kizungumkuti, ila bora ujitafute kwanza ndio uupoe mwali lakini akikisha hautumii pesa kama chambo ya kumpata ikiwezekana mpitishe kwenye majaribu ya hali ngumu kiuchumi ili kumpima kwanza.
Huko mwisho ndio umeharibu. Dunia hii huyo dem wa kumpitisha kwenye majaribu wamebaki kwenye muvi za mkojani tu.
 
My stand, nimeamua kujitafuta kwanza. Mwanaume hazeeki akiwa na mkwanja, na mkwanja nauona umeanza kuchuruzika, nauwekea mipaka mizuuri na kuimarisha kuta usinipotee kirahisi. Mapenzi yatakuja tu. Kwa kua nilizaliwa kwenye ufukara sitaki kufa lofa kabisa. Hata kama nitakufa nikaacha mtoto wa mwaka mmoja, ila mwenye uhakika na kesho yake, nitakua nimetimiza lengo langu hapa duniani.
 
Atafute mwenza aongeze nguvu kutafuta mafanikio ya uchumi 😂
 
Unajua changamoto haiko hapo tu hata kuna wengine wadada wanaanza maisha na washkaji zao ila baadaye wanazingua wanabadilika totally wanasahau hata walioanza nao
Tunazungumzia mali walizochuma mkuu ikitokea wame separate basi itabidi wagawane tu bila dhuluma mkuu.
 
Wanawake wote wanahitaji financial security kutoka kwa wanaume.
Ni uongo kusema kuna mwanamke ambaye haitaji pesa ya mwanaume.
Hio sio shida , tatizo tunahitaji babes zilizo na real love, hizo pesa mbona watapata, ila sio fake love alafu bado nakuhudumia kwangu ni BIG NO.
 
Pressure ya mitandao inawatoa watu wengi mchezoni, saiv taarifa nyingi ni rahis kuzipata na ujana tunaushare kidunia.... Sasa unakuta mtu ana miaka 24/25 anaskia mahali kuwa mtu wa umri wake kafanya makubwa ana nyumba, uwekezaji wake & usafiri na yy bila kujiuliza vzr analipuka tu...anapata demu huku mishe zake per month zinampa 100k-1M mwisho wa siku no progress, ndo unaanza kuona mada kama hz😁 niwe na demu? Au nitafute pesa? Au nibebe vyote kwa pamoja?
Vyote kwa pamoja 😅
 
Kwani kuna mtu ametoa kauli kwamba hupati Tena hela so ale pia maisha akipata hela sio kila hela unayopata unakuwa unaeekeza tu nyingine matumizi kuhusu wanawake asikubali mtu anayeringa wa kumpa stress.
 
Tunazungumzia mali walizochuma mkuu ikitokea wame separate basi itabidi wagawane tu bila dhuluma mkuu.
Mwisho wa siku hapo Kuna msingi haukuwekwa vizuri bado kijana atakuwa na msongo baada ya hayo yote
 
Kwani kuna mtu ametoa kauli kwamba hupati Tena hela so ale pia maisha akipata hela sio kila hela unayopata unakuwa unaeekeza tu nyingine matumizi kuhusu wanawake asikubali mtu anayeringa wa kumpa stress.
Hapa tukubaliane wanawake wasiwe kipaumbele kabisa
 
Mwisho wa siku hapo Kuna msingi haukuwekwa vizuri bado kijana atakuwa na msongo baada ya hayo yote
sawa mkuu, ila mimi nilishajiamulia nisipopata mwanamke wakat huj najitafuta ndio basi, ikitokea nimepata ikiwa nimeshajipata labda huyo manzi atokee rich family au mwenye exposure ya hela angalau bila ivo SIJUI.
 
sawa mkuu, ila mimi nilishajiamulia nisipopata mwanamke wakat huj najitafuta ndio basi, ikitokea nimepata ikiwa nimeshajipata labda huyo manzi atokee rich family au mwenye exposure ya hela angalau bila ivo SIJUI.
Hahaha kweli nimeamini masikini hatupendani
😂😂😂
 
Back
Top Bottom