Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Kwaiyo jamaa sio riziki tena kwa sasa?I just wished Mtoto wa tandale angekaza Kama 50 cent, ndio basi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo jamaa sio riziki tena kwa sasa?I just wished Mtoto wa tandale angekaza Kama 50 cent, ndio basi tena
Labda Kama umepiga kwa Ras Simba, ila hakuna shida hapoKingereza ni kigumu mno!
Stori za jaba
Pdidy tunahitaji maelezo yako mkuu dhidi ya huyu mr combs
Eti lebron alipewa $100 million akapasuliwa kalio
Bila shaka ni mashariti ya freemason hayo,hutow damu lakin unapewa sharti la kula vinyeo vya watu maarufu tu
Duh nawaza tu vile burnaboy vile alikuwa akipakwa mafuta ya watoto sura yake ilikuwa inafananaje...
Hapo kainaimishwa dah dunia hii.
Mambo vipi wakuu? Shwari? Mpo vizuri? Mpo tayari?Kujiamini gani huko jamani haogopi ngumi zile isee anataka tarko la bondia kweli..
Jamaa mafiiiiaaa sana.
Dogo katoa kionjo cha wimbo anasema Diddy part
50 Cent anasema siku ya kwanza alipogundua uchafu wa P. Diddy ilikua kwenye studio za tv, wakiwa katika live interview kwenye tv P. Diddy alimwambia 50 Cent, "50 nataka nikutoe out siku 1 nkufanyie shopping unaonaje ofa hiyo bro?...
Inasemekana mika mingi iliyopita, P.Diddy alimpa 50 Cent offer ya kumfanyia shopping, lakini 50 Cent akamtolea nje..
Je, unadhani kipi limfanya 50 Cent akatae offer ya shopping toka kwa P.Diddy? Video clip chini ina maelezo kamili..
View: https://youtube.com/shorts/9FoyGApUQ1o?si=WQTZ7YwA1obd2IDq
Inasemekana mika mingi iliyopita, P.Diddy alimpa 50 Cent offer ya kumfanyia shopping, lakini 50 Cent akamtolea nje..
Je, unadhani kipi limfanya 50 Cent akatae offer ya shopping toka kwa P.Diddy? Video clip chini ina maelezo kamili..
View: https://youtube.com/shorts/9FoyGApUQ1o?si=WQTZ7YwA1obd2IDq
Alienda nyumbani kwake kabisa na wakafanya vitu ambavyo haviwezi kusemwa hadharani🤣🤣Boss wa uchafu ni alikulibali kufunyiwa shopping
Na diddy
Duh,Diddy akawa anapeleka mkono kupapasa paja la Tyson, Tyson akamshika ule mkono akamsukuma kando na kuhamia siti mbali na yeye kabisa
😁yeye kazi yake ni moja tu, kupeleka moto! Mbaya zaidi ni jinsia zote.Mwamba amechafukwa Nafsi Hana habari yeye ni mikwaju tuu uwe nigga uwe naisi gai.
😁😁Ndo madhara ya kupenda vitongaDuh nawaza tu vile burnaboy vile alikuwa akipakwa mafuta ya watoto sura yake ilikuwa inafananaje...
Hapo kainaimishwa dah dunia hii.
Hii ni too much, ni zaidi ya zenji na mombasa. Nadhani kuna nguvu ya ziada kutoka gizani inatumika aisee!Duh,
Diddy ana laana.
Ni kama alikulia Zenji au Mombasa!!