Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ID yako kwa Kilugha cha Kwetu Rwanda inamaanisha ni Kinyesi cha Binadamu kinachotoa Harufu si tu mbaya bali pia ni Hatari kwa Afya za walio jirani ( karibu )great thinker utakuwa wewe? Waafrika tunashida sana. Ungekua Great thinker si ungekua unafanya kazi na kina Microsoft saiz!
Kumbe ni mnyarwanda! basi bwana sina haja ya kubishanaID yako kwa Kilugha cha Kwetu Rwanda inamaanisha ni Kinyesi cha Binadamu kinachotoa Harufu si tu mbaya bali pia ni Hatari kwa Afya za walio jirani ( karibu )
Hebu nitokee hapa Mpuuzi Mkubwa Wewe.Kumbe ni mnyarwanda! basi bwana sina haja ya kubishana
ViwaviJaman me nauliza maana ya karma, kwa anayejua anieleweshe.
Kama ilivyompata Mwendazake JiweHabari zenu wakuu,
Karma limekuwa neno maarufu Sana likitumika kumaanisha usimfanyie mwenzako ubaya, maana na wewe utalipwa ubaya.
Binafsi sikuwa naamini Sana kuhusu karma, Hadi siku iliponitokea nikaamini Kwamba malipo ni hapahapa dunia. Na kitu nilichojifunza nikimkosea mtu na nikagundua nimekosa nitaomba msamaha kwa niliyemkosea Kama nitashidwa kumface ama kumpigia simu ntatuma hata text ili mradi ujumbe ufike that I feel sorry for what I did.
Niliwahi kumkosea mtu akahuzunika kwa ajili yangu, aliniita kiustarabu na kunieleza sikumtendea vyema Hadi akafikia kulia, nilijiskia vibaya lakini sikujali. Fast forward years later same thing happened to me, Nililia hata kushinda yeye. Nikakumbuka it's karma nikasema lazima nimuombe msamaha, sikuwa na nguvu ya kumpigia simu nlimtumia text, alinipigia we spoke akanambia alinisamehe kitambo, nikaskia moyo wangu umepata amani Sana.
Kisa Cha pili, Kuna Mama alinitapeli pesa yangu ya biashara. I trusted her sababu alikuwa mtu mzima na alikuwa mke wa mchungaji. Nikampa pesa ya mzigo akaniletea Mara tatu ya nne akaanza kunizingua ooh, mzigo haupatikani wakati yeye kila siku analeta wake. Nilimdai Hadi nikachoka, napiga sim hapokei. Baada Kama ya miezi miwili hivi nikaenda kwake nilimpata anaumwa, kakonda anaanza kunambia she has been sick na hajawahi kuumwa hivyo, kazunguka mahospital katumia gharama kushinda hata pesa ninayo mdai. Nikajiambia hiyo ni Karma, nilimwonea huruma nikamsemehe na Deni.
Tuwatendee wenzetu wema. Karma never miss it's address, Malipo ni hapahapa duniani.
Kha! Unajihukumu bure kwakua ushaweka kichwani hiyo ni mbaya Mkuu,mbona mi sipati msala wowote?Ulimwengu unajiendesha katika mfumo ulio balanced.kwahiyo ukitenda kitu Leo lazim kije show effect hat baadaye ili kubalance.
world is fair because is unfair to everyone
mimi Kila nikimaliza kula nyeto lazma nipate msala wwte
Wishing for someone's death or failure inategemea umenitenda nini,kuna kitu utanitenda aisee!!! Sitawish for your death,I'll kill you myself!See! The voice huwa ni so powerful & loud within kiasi kwamba huwezi kuipinga. Watu wasiangalie karma (laana) kama tu matokeo ya kutenda ubaya. Vilevile kuna karma (baraka) ya kutenda mema!!! Those who spend their time wishing for somebody else's death ama failure, huwa nawahurumia sana! They know not wanachokifanya. We should be good wishers na watoa barka kwa wengine! What goes around normally comes around! Hakuna tendo jema ama baya, even if infinitely small, ambalo halitakuwa repaid back in kind
Kuna mambo yatakuwa yanakutokea lakn we utakuw unaon in sehem tu ya lifeKha! Unajihukumu bure kwakua ushaweka kichwani hiyo ni mbaya Mkuu,mbona mi sipati msala wowote?
Kwani nyeto ni kosa? Hebu nifungue kwanzaKuna mambo yatakuwa yanakutokea lakn we utakuw unaon in sehem tu ya life
Let's hope that mambo hayafiki huko, maana ni wazi kuna walakini katika utimamu wa akili hapa.Wishing for someone's death or failure inategemea umenitenda nini,kuna kitu utanitenda aisee!!! Sitawish for your death,I'll kill you myself!
Kwani nyeto ni kosa? Hebu nifungue kwanza
Hiyo ukijibiwa ujue nitakupa zawadiSasa karma mbona hamuondoi ccm madarakani pamoja na maovu yake yote?
Utatata uko wapi kwaninimeanzia huko na ndio maana nimefikia hapa, hapa ndio utata nilipouona
Wishing for someone's death or failure inategemea umenitenda nini,kuna kitu utanitenda aisee!!! Sitawish for your death,I'll kill you myself!