Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Huyo uliekua unamdai ukamkuta anaumwa unafikiri hayo ndo yalikua malipo ya deni lako? Je ungekua humdai asingeumwa?
Neno malipo ni hapahapa duniani ni maneno yaliyo andaliwa ili wanyonge wayaamini na wapoteze haki zao.
Hii Dunia haipo kwaajili ya watu wanao samehesamehe
Neno malipo ni hapahapa duniani ni maneno yaliyo andaliwa ili wanyonge wayaamini na wapoteze haki zao.
Hii Dunia haipo kwaajili ya watu wanao samehesamehe