Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msokoto, nikiutoa tu nnaachiwa kaka nenda tu usijali hamna shidaMfukoni kukiwa na nin?
Kwamba kuna wezi au??Mtaani sitembei hata na simu ukiachilia mbali pesa
Hakuna harakati za biashara wala movements za watu wengiKwamba kuna wezi au??
Hahaha duh!Aah! Kumbe ni kule ushuwani
Kadi ya bank na tigopesa inatoshaInakuwaje WanaJamiiForums
Binafsi huwa najisahau sana kubeba akiba nikiwa matembezi kitaa, mpaka kuna mda najiuliza hivi ndo ile nipo road mara paap! Nimeipush sahani ya maandaz bahati nzuri Mama muuza maandazi kaiwahi sahani, ila limedondoka andazi moja ndo naambiwa ushukuru limeanguka moja tu, haya lipa mia hiyo usepe
Halafu ndo kidume kizima nasema eti nisubir niende home chap nakuletea, hii ni fedheha hii
Au ndo ile unashikwa shat kisa mia, maana watu wamevurugwa siku hizi
Kuondoa yote haya now natembea na buku kama kilinda mfuko, je wew ukiwa street unakuwa na sh ngap mfukoni?View attachment 2640545
dah.. natembeaga na kende zangu tuu
Kwahiyo ikitokea umeangusha sambusa moja road unapiga simu[emoji38][emoji38]Wengi watajibu masiara najua, ila kiuhalisia (by nature) mimi sipendi kutembea na hela. Mara nyingi huwa natembea na simu, kwnye simu nina Wana na ndugu ambao nikipata dharula yoyote msaada ni dakika 0 na nikirudi geto nawatumia hela yao.