Unabii kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Unabii kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Munataka Kumuua Mchungaji Gwajima ( kiongozi wa dini) kisa tu ametabiriwa atagombea urasi Halafu munakuja kupima upepo na utabiri feki? Acheni hizo Ndugu zangu… mwenyewe dhamana ya uhai ni Muumba mwenyewe- mwacheni afanye kazi yake Kwa wakati wake bila ya nyie kujibebesha kazi zake…
 
1. Lissu na Mbowe watakosana. Kutakuwa na mgongano wa kimtazamo na kimwelekeo kati ya Mh. Lissu ambaye ni mtarajiwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA na Mwenyekiti wake Mh. Mbowe.
2. Kuna kiongozi wa dini ambaye atakuwa upande wa CCM na ataambatana na mgombea Urais wa CCM atakufa kabla ya Uchaguzi mkuu 2025.
Naendelea kufuatilia utabiri🤔🤔
 
Hapo ukute upo kwa shemeji yako unakuna tu pumbu wifi ya bure
 
Munataka Kumuua Mchungaji Gwajima ( kiongozi wa dini) kisa tu ametabiriwa atagombea urasi Halafu munakuja kupima upepo na utabiri feki? Acheni hizo Ndugu zangu… mwenyewe dhamana ya uhai ni Muumba mwenyewe- mwacheni afanye kazi yake Kwa wakati wake bila ya nyie kujibebesha kazi zake…
Gwajima hawezi kua Rais wa Tanzania acheni utani basi kawe pia hawezi kurudi
 
Lissu atakwenda kuishi Ubelgiji kuanzia kesho kutwa. Hapo alipo ana ticketi tayari.
 
Back
Top Bottom