UNABII: mwaka huu nchi itapigwa tetemeko kubwa la ardhi , pamoja na ulimwengu kwa ujumla

UNABII: mwaka huu nchi itapigwa tetemeko kubwa la ardhi , pamoja na ulimwengu kwa ujumla

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe kwenu watu wa MUNGU

Serikali ijiandae kwa janga kubwa ambalo liko mbele yetu ndani ya mwaka huu

Kuna tetemeko kubwa sana la ardhi litaipiga inchi yetu litaipiga Dunia

EARTHQUAKES
EARTH POWER

EE BWANA YESU KRISTO tusaidie

AMINA

SAYUNI BOY
 
Ukionyeshwa tetemeko kimwilli ila sie wa rohoni tunajua maana yake.

Nachelea kusema yale ya yule mtabiri aliyewahi kufukuzwa Tanzania na Mwalimu ila sasa ni Mwendazake yanatimia
Umeweka code nyingi sana chambu wangu
 
Amani iwe kwenu watu wa MUNGU

Serikali ijiandae kwa janga kubwa ambalo liko mbele yetu ndani ya mwaka huu

Kuna tetemeko kubwa sana la ardhi litaipiga inchi yetu litaipiga Dunia

EARTHQUAKES
EARTH POWER

EE BWANA YESU KRISTO tusaidie

AMINA

SAYUNI BOY
Nalikemea tetemeko,
lishindwe kwa jina la yesu Kristu,
damu yake ifunike Tanzania yote na vyote vilivyomo,
Naamuru kwa Jina La Yesu tetemeko lisiwepo,
Wote tuseme Amen!
 
Amani iwe kwenu watu wa MUNGU

Serikali ijiandae kwa janga kubwa ambalo liko mbele yetu ndani ya mwaka huu

Kuna tetemeko kubwa sana la ardhi litaipiga inchi yetu litaipiga Dunia

EARTHQUAKES
EARTH POWER

EE BWANA YESU KRISTO tusaidie

AMINA

SAYUNI BOY
Mmeanza tena; kama KAWAIDA YENU!!
 
Back
Top Bottom