Nitaoa kwakeAKiwa Waziri Mkuu wewe utanufaika kivipi? acha awe hata Rais ni faida kwa familia yake
Katelephone anajua?Ummy gani huyoo..!?
Hebu tupia kavideo chake cha lugha ya malkia tumsikie upande huo!
We endelea kuwaza ngono watu wanapiga pesa
Ndio maana hata Mwinyi hana motivation yoyote ya kumshauri mtu kuhusu upambanaji.Mwenyekiti wa CCM atakavyo jisikia ndiyo inakuwa hivyo
Ingawa Sijawahi kumsikia
Upo sahihi, kwani Majaliwa amefanya nini kushinda wengine?Ndio maana hata Mwinyi hana motivation yoyote ya kumshauri mtu kuhusu upambanaji.
Maana alibebwa tu akawekwa. Hata kitabu chake hakina jambo la maana zaidi ya soga tu.
Yaani at least Lowasa unaweza kukaa ukamsikiliza, kuliko Mwinyi.
Akili za Watu wengine unashindwa kuzielewa Muda wote wanazungumzi mafanikio ya Watu wengineAKiwa Waziri Mkuu wewe utanufaika kivipi? acha awe hata Rais ni faida kwa familia yake
Lowasa ni kiongozi bora sana sizani kama kuna anae mkaribia kwa uweledi na uimara katika wote ukimtoa January makamba.Ndio maana hata Mwinyi hana motivation yoyote ya kumshauri mtu kuhusu upambanaji.
Maana alibebwa tu akawekwa. Hata kitabu chake hakina jambo la maana zaidi ya soga tu.
Yaani at least Lowasa unaweza kukaa ukamsikiliza, kuliko Mwinyi.
Badala atafute pesa yeye na familia yakeAkili za Watu wengine unashindwa kuzielewa Muda wote wanazungumzi mafanikio ya Watu wengine