Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ahahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaha
Mpango ndio Makamu takataka kuwahi kuwepo nchi hii. Ni mtu ambaye kwanza hakuna anachokiamini zaidi ya kumtumikia anayemlisha, pili hakubaliki ndani ya CCM mpaka kwa wananchi.Hata kama haumkubali siyo kwa kauli hizo 'brother" , kumbuka hata alichaguliwa from a dilpomatic point of view Mama alitafuta mtu asiye na makundi na mwenye historia ya Uaminifu na Uwajibikaji katika kazi usitake kudanganya watu kama wewe ni zao la Mafurushi sio kila mtu ni Furushi.
Wewe na wananchi wako wa Pluto ndo hamkubali Dr. Mpango wengine tunamwelewa vizuri tuu, hivi kwanza tangu lini kukawa na Makamu wa Raisi anayekubalika? ili iweje? siku zote nenda rudi sijawahi ona Makamu wa Raisi anayekubalika ile Post kwa Taarifa yako Imepooza, VP HATAKIWI KUWA NA KIRANGA KAZI YAKE NIKUMSAIDIA RAISI TUU PERIIIOD A.K.A CHAWA WA PREZIDAA ,JD ZA MAKAMU WA RAISI NI KUITIKIA, KUSHABIKIA KILA KITAKACHOFANYWA AU KUSEMWA NA PRESIDENT PAMOJA NA KUMALIZIA VIPORO VYA MHESHIMIWA NUKTA. Tangu kipindi ch kina Dr Ali Juma mpaka sasa inatambulika ni Post Mpoozo.Mpango ndio Makamu takataka kuwahi kuwepo nchi hii. Ni mtu ambaye kwanza hakuna anachokiamini zaidi ya kumtumikia anayemlisha, pili hakubaliki ndani mpaka kwa wananchi.
Ummy mpambanaji na mpiga kazi, nami namwombea iwe hivyo kwake.Habari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kuhusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota yake inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya Shekhe Yahaya!!
Kunaumuhimu gani kujadili ndoto zako? Nawewe utakuja kuwa nani??Habari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kuhusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota yake inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha stori za vijiweni mkuu. Leta ushahidiNani alikuambia Edo alijiuzuru kwa kupenda?? JK mtoto wa town,alimwambia andika barua,ikifika kwangu,nakataa usi resign,mmasai akakubali! Alishangaa anapelekewa majibu,kwamba JK amekubali ombi lako lakuachia ngazi!!
VijiweniNani alikuambia Edo alijiuzuru kwa kupenda?? JK mtoto wa town,alimwambia andika barua,ikifika kwangu,nakataa usi resign,mmasai akakubali! Alishangaa anapelekewa majibu,kwamba JK amekubali ombi lako lakuachia ngazi!!
Mke wa ummyKunaumuhimu gani kujadili ndoto zako? Nawewe utakuja kuwa nani??
[emoji16]Point yangu ni moja, nchi isiongozwe tena wanaume. Maana wamezidi ukatiri, ubinafsi, uzinzi, kuzaa watoto na kutelekeza.