Mfano mtu kama Mpango, kuna utaratibu wowote unaweza kusema aliufuata au alipambana au alifanya jambo fulani akapanda ngazi mpaka akawa Makamu wa Rais ?Upo sahihi, kwani Majaliwa amefanya nini kushinda wengine?
Sijasema alioepo ataondolewa mkuuHizi juhudi za ku discredit the PM we have zishindwe na zilegee. Nani kasema kubadilisha kazi kila siku ndio sifa ya kuwa na timu bora? Aliyepo amekosea wapi? Kazi sana. Siasa hizi zishindwe...tunataka nchi yetu ijengwe na sio kugawa keki kama kila mtu ameshiba
Vice president furushi unajua ku obey authority?Mfano mtu kama Mpango, kuna utaratibu wowote unaweza kusema aliufuata au alipambana au alifanya jambo fulani akapanda ngazi mpaka akawa Makamu wa Rais ?
Ni mtu kachukuliwa tu kama furushi kawekwa hapo na maisha yanaendelea.
Hata Mwinyi Zahera anaweza kuwa Makmu wa RaisMfano mtu kama Mpango, kuna utaratibu wowote unaweza kusema aliufuata au alipambana au alifanya jambo fulani akapanda ngazi mpaka akawa Makamu wa Rais ?
Ni mtu kachukuliwa tu kama furushi kawekwa hapo na maisha yanaendelea.
Kabudi kavimbiwa.
Siku hizi umechukua mikoba ya utabiri wa nyota?Habari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kihusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota take inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Kassim Majaliwa aliyesema msikitini kuwa Rais yupo Ikulu anachapa kazi, wakati rais anajifia, kaweza kuwa Waziri Mkuu kabla na baada ya kauli hii, mbwa yeyote anayeweza kufunzwa wapi abweke na wapi akae kimya anaweza kuwa Waziri Mkuu.Habari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kihusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota take inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kihusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota take inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa...inawezekana. Kama JPM na ubabe wake alimsifu hadharani, ujue ni ngangari. JPM was veru tough and rough as well. He wasnt a person to appreciate anything less from what he wanted.
Trust me, huko tumeshatoka na haturudi tena. Wasagia kunguni wapoHabari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kihusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota take inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mwinyi alikula shushu mzee yule, imagine ni first generation ambaye hakuna popote alipambana na harakati za uhuru ila akiwa raisi wa pili wa JMT with no single struggle.Ndio maana hata Mwinyi hana motivation yoyote ya kumshauri mtu kuhusu upambanaji.
Maana alibebwa tu akawekwa. Hata kitabu chake hakina jambo la maana zaidi ya soga tu.
Yaani at least Lowasa unaweza kukaa ukamsikiliza, kuliko Mwinyi.
2025 mama anamteua Ummy kuwa PM, inshallahHabari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kuhusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota yake inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechukua ya nani Dada angu?Siku hizi umechukua mikoba ya utabiri wa nyota?
Matusi sasa kijana wa BenKama Kassim Majaliwa aliyesema msikitini kuwa Rais yupo Ikulu anachapa kazi, wakati rais anajifia, kaweza kuwa Waziri Mkuu kabla na baada ya kauli hii, mbwa yeyote anayeweza kufunzwa wapi abweke na wapi akae kimya anaweza kuwa Waziri Mkuu.
Hapo umeenda tofauti na mimiVyuma alivyonoa JPM
Ummy ni kati ya mawaziri walifundishwa na kukomazwa kiuongozi na shujaa
Ummy dada ya korona[emoji2][emoji2][emoji2]
Rest well John Pombe Magufuli
WatakuuaAkiwa Waziri mkuu nakwenda kukojoa parade shule niliyosoma O-level
Hata kama haumkubali siyo kwa kauli hizo 'brother" , kumbuka hata alichaguliwa from a dilpomatic point of view Mama alitafuta mtu asiye na makundi na mwenye historia ya Uaminifu na Uwajibikaji katika kazi usitake kudanganya watu kama wewe ni zao la Mafurushi sio kila mtu ni Furushi.Mfano mtu kama Mpango, kuna utaratibu wowote unaweza kusema aliufuata au alipambana au alifanya jambo fulani akapanda ngazi mpaka akawa Makamu wa Rais ?
Ni mtu kachukuliwa tu kama furushi kawekwa hapo na maisha yanaendelea.