+Rc wa Mwanza na MbeyaBado kwa ndugai
Mie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Na mimi wa tatu, hapa nimepata maono huko Hai watu wanasherehekea utadhani mwezi umeonekana Hai!Mnabii wa kweli tumebaki wawili mimi na huyo mwamba.
Na mbusiiii wamechinja.Na mimi wa tatu, hapa nimepata maono huko Hai watu wanasherehekea utadhani mwezi umeonekana Hai!