Unabii wa Godbless Lema kwa Ole Sabaya umetimia?
58da0d42-0573-48ff-a380-27421f12a79e.jpg
 
RC wetu wa mbeya huku kiukweli hana utumbo Kama wakina sabaya, honestly hana tatizo shida yake ni uropokaji na pumba zake za kusema kaongea na magu kumbe mzee katangulia[emoji23][emoji23]
Ana kaujinga lakini anavumikika, komedian huyo
 
RC wetu wa mbeya huku kiukweli hana utumbo Kama wakina sabaya, honestly hana tatizo shida yake ni uropokaji na pumba zake za kusema kaongea na magu kumbe mzee katangulia[emoji23][emoji23]

Mzee wa pesa ndiyo nguvu za kiume
 
kumbe mshahara haufiki ata m5 afu unakuwa na kiburi cha madaraka 😳 😳
 
Back
Top Bottom