Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema ana MunguMie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Kujipendekeza ruksa Ila sio kwa levo za kuumiza wenzio, hata maofisini tunajipendekeza kwa bosi Ila sio kwa level za kuwaharibia kazi wenzetu
Mi nataka anitabirie Saint Anne kanidondokea, nimuoe bila mahari...Mie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Rc wetu wa mbeya kiukweli hana shida kosa lake kubwa ni mzee wa pumba Yani hamnazoo[emoji23][emoji23] ila hana upimbi Kama wakina sabayaIla RC wa Mbeya Toka msiba , sijamsikia kabisa akiongea pumba Wala kufanya vituko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani ukipewa cheo akili zinakutoka?
Aje tena the DON kutaka wanawake wa bure...alikuwa na dharau Sana.
RC wetu wa mbeya huku kiukweli hana utumbo Kama wakina sabaya, honestly hana tatizo shida yake ni uropokaji na pumba zake za kusema kaongea na magu kumbe mzee katangulia[emoji23][emoji23]+Rc wa Mwanza na Mbeya
Ana kaujinga lakini anavumikika, komedian huyoRC wetu wa mbeya huku kiukweli hana utumbo Kama wakina sabaya, honestly hana tatizo shida yake ni uropokaji na pumba zake za kusema kaongea na magu kumbe mzee katangulia[emoji23][emoji23]
RC wetu wa mbeya huku kiukweli hana utumbo Kama wakina sabaya, honestly hana tatizo shida yake ni uropokaji na pumba zake za kusema kaongea na magu kumbe mzee katangulia[emoji23][emoji23]
Sure chalamila abaki ana uchizi mwingi,utani Sana ila kazi zake anafanya vzuri Hana udharirishaji,si muonevu wala kusumbua raia na watumishiAna kaujinga lakini anavumikika, komedian huyo
Hahahah eti "mke wangu hebu niangalie isijekuwa mimo ndio nimekuafa) ChalamilaSure chalamila abaki ana uchizi mwingi,utani Sana ila kazi zake anafanya vzuri Hana udharirishaji,si muonevu wala kusumbua raia na watumishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]mkuu umenikumbusha huyu RC nakwambia hamnazo Yani alikua anahisi amekufa ila RC tunaeHahahah eti "mke wangu hebu niangalie isijekuwa mimo ndio nimekuafa) Chalamila