Unabii wa Godbless Lema kwa Ole Sabaya umetimia?
Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu

View attachment 1783717
Ndugai amtafute Lema wayamalize Mapema
 
Mwamba Naona Tayari ushachukua Toto ujue...
Huyu Dada Ni Smart sana Ujue na Ni Mrembo Mwenye IQ kubwa tangu yupo Chuoni!
Hongera Mkuu Ila angalia asikupige kibuti,Kawapiga Kibuti wengi tuu! ila huwa nakukubali sana Mkuu Una Kipaji flan!!
Cc Saint Anne
Mimi siingii kichwakichwa kiongozi... ndo maana naomba mwongozo wa Nabii Lema...

Najua Saint Anne alikuwa kichwa sana chuoni. Ila hata mimi sio wa kubeza. Kama unabisha kamuulize mwalimu wangu wa Sayansi Kimu pale Mtakuja primary school, darasa la 6B.
 
Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu

View attachment 1783717
IMG-20210514-WA0001.jpg
 
Na mimi wa tatu, hapa nimepata maono huko Hai watu wanasherehekea utadhani mwezi umeonekana Hai!
Ilitakiwa uwe ulisema kabla tena mapema, halafu yakaja kutokea, huo ndio unabii.
Vinginevyo unakuwa ni reporter wa matukio au mjanjamjanja kama wapiga ramli
 
Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu

View attachment 1783717
Aiseee 🤔🤔, wooraaa Lema 🤣🤣 Nyinda meku!!
 
Back
Top Bottom