Aliokota watu wa hovyo hovyo ni aibu kuwa na viongozi type ileDaaa bahati nzr tu mm sio muumba, bt kiukweli kabisa jamaa hakustahili kuendelea kuishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliokota watu wa hovyo hovyo ni aibu kuwa na viongozi type ileDaaa bahati nzr tu mm sio muumba, bt kiukweli kabisa jamaa hakustahili kuendelea kuishi.
Mama hana Mamlaka ya kuingilia mhimili Wa Bunge. Mama ana kaustaarabu ka kuheshimu Mipaka yake ya Utawala...Duh!! Tatataka kabisa
Bora kaondoka
Ila mama awe makini na Ndungai naye ni hatari kwa usalama wa taifa ili
Impeachment ingemfaa sana na yeye
Ndio,Duh wewe ni muhanga?
Bado Ndugai
Mama hana Mamlaka ya kuingilia mhimili Wa Bunge. Mama ana kaustaarabu ka kuheshimu Mipaka yake ya Utawala...
Mama Siyo kama yule Chizi
Ogopa muombaji mama. Hata ukiongea naye kwenye maongezi ya kawaida tu kuwa makini sana. Kila neno analoongea muombaji ni full unabiiMie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Kasabaya kamefika mwisho wake sasa ashukuriwe Mungu mkuu!Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu
View attachment 1783717
Duh.. ushauri wa hasimu wako ni mzito sana kuliko wale wanaojipendekeza na wanafiki.Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu
View attachment 1783717
Nabii wa kuzimuMie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
UnaotaNabii wa kuzimu
Rc mbeya Yuko vzr sana sema tu anautani sana wakati mwingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mwenzake wa Iringa,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ndoto njemaUnaota
In vino veritas. "There is truth in wine". Ndio ukweli wenyewe.Godbless Lema ndiye mwenye makosa. Kwa nini ampigie simu yule wakati Sabaya amelewa chakari.