SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tunasubiria kwa hamu yatimie kwa Ndungai. Ewe Mwenyezi Mungu tufanyie wepesi tuondolee huyu mbilikimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya Ndungai mama amuache tu Mungu wetu atamalizana naye kimtindoDuh!! Tatataka kabisa
Bora kaondoka
Ila mama awe makini na Ndungai naye ni hatari kwa usalama wa taifa ili
Impeachment ingemfaa sana na yeye
Nabii Lema, Lema ni Nabii 🙏🏾chadema imejaaliwa wabeba maono.Mie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi siingii kichwakichwa kiongozi... ndo maana naomba mwongozo wa Nabii Lema...
Najua Saint Anne alikuwa kichwa sana chuoni. Ila hata mimi sio wa kubeza. Kama unabisha kamuulize mwalimu wangu wa Sayansi Kimu pale Mtakuja primary school, darasa la 6B.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila babuuuh kweli mwendazake hukupendezwa nae daaaah,Waombe mama awatoe. Maana akiendelea kuwaacha Mungu ataenda kusikia dua zetu kama alivyozisikia kwa baba yao... mwendazake
Ndio maana tukaambiwa tuwape watoto wetu majina mazuri, GODBLESS. Amebarikiwa na Mungu huyo tayari. Eti unamwita mtoto MUSIBA si utakuwa Msiba. Majuto utakija jijuitia. POMBE itakuja kuwa kali iuwe watu. SHAKA, ujinsia wake utakuwa wa mashaka. KABUDI ndio Kabugi naye. Polepole na fikira zake zitakuwa slow pia.Mie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Pole sana mkuu Mungu amejibu maombiNdio,
hivyo viwajwa ndio vinanipa ugali mezani, sasa jitu kisa kuu la wilaya linalaximisha bure
Ok sijasoma Ila siibi cha mtu, wewe rais anakujua , Mara sijui visifa kibao Sasa toa hela hizo sifa haziwalipii nauli na ada wadogo zangu
Namsubiri nikutane naye mtasikia habari kwenye magazeti, namdhalilisha mwanzo mwisho, ntamwagia mkojo , natembea nao kwenye chupa
Yule Jamaa Ni nabiiMie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Bado wa NdugaiLema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu
View attachment 1783717
Ila hili lina ukweli...Asante Mama kunipa jina linaloendana na baraka nazopata kwakweli...khaaNdio maana tukaambiwa tuwape watoto wetu majina mazuri, GODBLESS. Amebarikiwa na Mungu huyo tayari. Eti unamwita mtoto MUSIBA si utakuwa Msiba. Majuto utakija jijuitia. POMBE itakuja kuwa kali iuwe watu. SHAKA, ujinsia wake utakuwa wa mashaka. KABUDI ndio Kabugi naye. Polepole na fikira zake zitakuwa slow pia.
Hivi mara ya "awali" alitabiri nani ataenda zake kuwa muhudumu wa "marayeka" mbinguni?😂😂😂😂Mie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Nadhani keshachelewa. Neno likiishatoka kwa nabii hakuna ku rewind
Unaacha kumwogopa Mungu unamwogopa binadamu aliyetokana na mavumbi!Mie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Kwa Don wapiHalafu Sabaya ni masikini,sijuii ataishii maisha gani lema,mbowe pesa ipo wamewekeza vya kutosha sabaya kazii kubaka wadada pale the don
Yes...kuna shida kwani?Unaacha kumwogopa Mungu unamwogopa binadamu aliyetokana na mavumbi!
Hahahahahahahahaa JosefuHivi mara ya "awali" alitabiri nani ataenda zake kuwa muhudumu wa "marayeka" mbinguni?😂😂😂😂
Segito hivi hapa nimepiga magoti nakusabahi.Ukiitika nainuka na kuendelea kunywa mdindifu!😂😂😂😂Hahahahahahahahaa Josefu
Huyu Kaka alitakiwa awe mtumishi wa Mungu na sio mwanasiasa!!Mie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?