JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Kuna kenge mmoja anaitwa kimbunga job,sikio moja bado halijatoa damu,tunaendelea kutwangaKifo cha kenge mpaka damu itoke kwenye masikio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kenge mmoja anaitwa kimbunga job,sikio moja bado halijatoa damu,tunaendelea kutwangaKifo cha kenge mpaka damu itoke kwenye masikio.
Rc wetu wa mbeya kiukweli hana shida kosa lake kubwa ni mzee wa pumba Yani hamnazoo[emoji23][emoji23] ila hana upimbi Kama wakina sabaya
Mh. Rais kwa unyekevu kabisa ikupendeza unda tume ya haki na maridhiano. Tunatamani kurudi kwenye misingi yetu ya kitanzania ya utu.Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu
View attachment 1783717
Maono ya Lema sasa yanaelekezwa rasmi kwa yule Mzee wa Kongwa.Mie Lema namuogopa rasmi kuanzia leo..ana nini huyu kaka?
Soon tuBado kwa ndugai
Na kulawiti wanaume wenzake naskiaHalafu sabaya ni masikini,sijuii ataishii maisha gani lema,mbowe pesa ipo wamewekeza vya kutosha sabaya kazii kubaka wadada pale the don
Aliota rais atakufaSioni unabii hapa.
Duh wewe ni muhanga?Kwani ukipewa cheo akili zinakutoka?
Aje tena the DON kutaka wanawake wa bure...alikuwa na dharau Sana.
hakuna atoke tuSure chalamila abaki ana uchizi mwingi,utani Sana ila kazi zake anafanya vzuri Hana udharirishaji,si muonevu wala kusumbua raia na watumishi
Alizonyanga'nya WATU jekumbe mshahara haufiki ata m5 afu unakuwa na kiburi cha madaraka 😳 😳
Kuna mwamba mmoja anaitwa "tumia akili" , kwake nyote munasubiriMnabii wa kweli tumebaki wawili mimi na huyo mwamba.
Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu
View attachment 1783717
Hadi kulawiti wanaumeNa mwanaume anayebaka baka wadada ni mchovu balaa
Daaa bahati nzr tu mm sio muumba, bt kiukweli kabisa jamaa hakustahili kuendelea kuishi.Bwana ametoa na Bwana ametwaa , jina la bwana libarikiwe
Vishetani vyake vinasubiliwa sasaLema ana maono. Aliyoyasema ndiyo yanatokea. Mwendazake keshaenda. Karma is a bitch.