Unabii wa Godbless Lema kwa Ole Sabaya umetimia?
IMG-20210514-WA0029.jpg
 
Godbless Lema ndiye mwenye makosa. Kwa nini ampigie simu yule wakati Sabaya amelewa chakari.
 
Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu

View attachment 1783717
Mh. Rais kwa unyekevu kabisa ikupendeza unda tume ya haki na maridhiano. Tunatamani kurudi kwenye misingi yetu ya kitanzania ya utu.
 
Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu

View attachment 1783717

2773446_1620965296552.png
 
Back
Top Bottom