Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
- Thread starter
- #21
Kinachoonekana kwako ni chuki tu.Huyu hana unabii wowote ni chokora, mwizi na mgongaji. Tafuta post zangu humu JF kuhusu huu unabii bandia. Mimi ndiye mtu wa kwanza niliye mfumbua kuwa huyu anataka kuotumia dini kisiasa na kimanufaa.
Ile asilia yake ya ujambazi na ulaghai ndio utampeleka hadi aamue kufungua kanisa lake na aanze kuzoa 10% kutoka kwa wananchi masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app