Unabii wa Godbless Lema unazidi kuwatia hofu wanasiasa wanaopindisha sheria na kutenda maovu katika jamii

Kinachoonekana kwako ni chuki tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikutaka kureply but hii yako imefanya nikuulize.

From it's written Genesis to Revelation in which verse nabii ametabiri siku ya kifo cha mtu au hata mtume Issa bin mariam Yesu mwana wa daudi aliwahi tabiri kifo cha mtu, siku wapi?.
 
Kama ni utabiri wa Magufuli, wengi walidhani hatamaliza mwaka wa kwanza! Acheni kusifia misikule
Kumbe wengi 'walidhani' ..sasa kwa taarifa yako Nabii Lema alioteshwa na akamwambia mfalme wazi bila chenga.

Hao 'waliodhani' kuwa hatamaliza mwaka walikuwa na ujasiri hata wa kupiga chafya mbele ya kayafa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona praise and worship imehamia side B
 
Wewe ni mpuuzi! Lema jambazi la kuiba magari au hata wewe ni wale wale
Zaidi ya Sabaya aliyepiga V8 ya 250+M kwa 60m only? Nani jambazi hapo? Jambazi yupo nyuma ya nondo anachezea spank za nyapara!

Bado jambazi Paulo mkolomije aliyevamia Clouds now anataka kukimbia nchi, ataminywa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unavhokisema ndicho alichokifanya Lema.
 
Wewe ni mpuuzi! Lema jambazi la kuiba magari au hata wewe ni wale wale
Kumtukana Lema, haitakusaidia kitu. Kunena mabaya dhidi ya mtu hakuwezi kumfanya kuwa mwovu. Hata wewe, watu wanaweza kukuita ni muuaji lakini kama hujawahi kuwa muuaji, hutakuwa.

Lema hajawaki kushtakiwa kwa wizi hata wa pini, achilia mbali magari. Kesi zake zote zilikuwa za kisiasa. Kama aliiba gari lako halafu uliamua usiende popote, tuambie. Vinginevyo, inawezekana utakuwa umeanza kupatwa na uwendawazimu. Dalili mojawapo kubwa ya magonjwa ya akili ni kuona vitu ambavyo havipo.

Waombe ndugu zako wakupeleke hospitali yoyote ya magonjwa ya akili ili uwahi matibabu.
 
Kuna aliyejua mzee wetu mpendwa atarudi mavumbini zaidi ya ile ndoto ya prophet? Mbona ikawa? Bado kuna mengi sana..ambayo sijayamention hapa lakn hayo ni kwa uchache tu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo ulikuwa hujui kama yangetokea

Yeye Hayati Kila siku Alikuwa anasema tumuombee maana ameingia kwenye vita ya kiuchumi AMBAYO ndo mbaya zaidi
 
Mungu ibariki CHADEMA
 
Wewe ndo ulikuwa hujui kama yangetokea

Yeye Hayati Kila siku Alikuwa anasema tumuombee maana ameingia kwenye vita ya kiuchumi AMBAYO ndo mbaya zaidi
Hii ilikuwa kabla hajaanza hata kutoa kauli za kutia huruma za 'kuombewa' mbele ya umma..kipindi hiko anakunywa damu za wanaompinga underground , ndoto ilishaotwa!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila unabii huwa unatimia hata kwa kuchelewa.

Rais wa darisalamu bado anatembea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…