Unabii wa Godbless Lema unazidi kuwatia hofu wanasiasa wanaopindisha sheria na kutenda maovu katika jamii

JPM alikuwa mgonjwa kabla hajagombea urais mwaka 2025, kuishi mpaka March 2021 ulikuwa ni kama muujiza.

Wabongo akili zetu tunazijua sisi wenyewe. Ndiyo maana maelfu kwa maelfu waliandamana kwenda kwenye kijiji cha Samunge, Loliondo, kwa Babu!
 
MAtendo ya Magufuli na Ndugai hayakuwa ya kumfurahisha Mungu. Hata mimi nilijuwa Magufuli asingedumu, ila tofauti ya mimi na Lema ni kwamba sikuwa na platform ya kuongelea.

Magufuli alikengengeuka kama Mfalme wa Babylonian empire, Nebuchadnezzar. Hakuna namna angedumu. Hata busara ya kuiba fedha na uchaguzi hakuwa nayo. Unaibaje uchaguzi wote hadi Serikali za Mitaa na Wabunge? Mungu hawezi akakuacha, lazima urudishe namba
 
Umedanganya hakuna siku wala mwaka uliotajwa.
 
Waamaleki wamepigwa za uso woote wamenagukia chali
 
Unabii wa Ndugai na Sabaya si juzi tu. Kama.ulisahau ni wewe.
 
Hajawahi kupambana na papa yoyote, bali alikuwa analipa visasi kwa wale wenye nacho waliokuwa wanampuuza kabla ya kuwa Rais. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Ukweli ndio huo
 
Wachaga wengi huwa na hisia kali za ubashiri
 
Unabii unaochagua uguse wapi katu sio unabii. Prophecies are both random and not about stating the obvious!
Kwano unabii wa Biblia ulishawahi ona unatabiria matajiri wa dhahabu?? Tendeni wema mstabiriwe mabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…