Unachagua ipi kati ya hizi mbili?

Mimi A ndiyo recommended japo B huwa navaa tena klein.
 
B unaonekana kama umevaa chupi hivi..

Halafu unaibana machine inakuwa haiko comfortable...
 
A .Kuna stori moja niko job nikawa nimetinga zile tatu kwa 10 .Sasa kuinama inama na heka heka kumbe boxer inachungulia .Ka dada duu kamoja kakaropoka yaani .... badogo unavaa boxer za bei rahisi hivyo.Kalinipiga kwenye moyo.Nikajitutumua kukajibu uvae boxer ya milioni au ya elfu mbili wote mtakufa tu.Ila nilivyotoka kwa namna dongo lilivyoniiingia nikaenda kutafuta 2 za Ten ,Ten.
 
A ya Mabasha,
B ni ya wasenge na makuchu

Ukweli ndo huo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…