LGE2024 Unachagua Wapinzani Serikali ya Mtaa Ili wakufanyie nini wakati Serikali Kuu ni ya CCM?

LGE2024 Unachagua Wapinzani Serikali ya Mtaa Ili wakufanyie nini wakati Serikali Kuu ni ya CCM?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
 
Rudi shule kasome course inaitwa LOCAL GOVT MANAGEMENT ( PS ) Prof. Chaligha..
Utaelewa roles and responsibilities za local government. Ungekuwa JAPAN kisha ukaandika ujinga huu wewe ungeuwawa
Utachekwa bure kwa ujinga wako
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Pumbavu.
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
 

Attachments

  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Rudi shule kasome course inaitwa LOCAL GOVT MANAGEMENT ( PS ) Prof. Chaligha..
Utaelewa roles and responsibilities za local government. Ungekuwa JAPAN kisha ukaandika ujinga huu wewe ungeuwawa
Utachekwa bure kwa ujinga wako
Ccm wanajua tu kuwadanganya wadanganyika,ndio maana huyo Jo haachi kupandisha nyuzi zakuendelea kuwadanganya vizuri wadanganyika.
 
Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala
huu ndio uendawazimu wa watanzania (CCM), serikali haipo kwa ajili ya ilani ya chama, ilani ya chama ni upumbavu na kwa maneno mengine ni rushwa ya ahadi ili mgombea apate kura. huwezi kuacha kuchagua mtu anayejielewa uchague popoma kwa kua tu unategemea serikali "ikufanyie" kitu. mtakuja kufa maskini
 
😂😂😂😂

Hii ni Tanganyika
Tanganyika ya wapumbav kama wewe . Unapigana na mtu amefungwa mikondp kisha unampiga halafu unajisifu?
Kuna wenzako wanashangaa hata chama kuomba michango kwa wañachama wake? Ni juzi tu hapa USA watu wamechangia mamilion ya dola kusaidia kampeni za vyama vyao. Sijaona wala kusikia mtu wa chama kingine huko US akikinanga chama kingine ati wanachama wake wanachangiq kampeni.
Wanakwenda mbali zaidi kuomba mpaka ttaarifa mitandaoni
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
bora umewaambia ukweli mapema wasijisumbue kupiga kua kwa upizani wanapoteza muda
 
huu ndio uendawazimu wa watanzania (CCM), serikali haipo kwa ajili ya ilani ya chama, ilani ya chama ni upumbavu na kwa maneno mengine ni rushwa ya ahadi ili mgombea apate kura. huwezi kuacha kuchagua mtu anayejielewa uchague popoma kwa kua tu unategemea serikali "ikufanyie" kitu. mtakuja kufa maskini
Tume za kuchunguza ufisadi zinaundwa nyuma ya mikamera majibu ya tume nyuma ya pazia

Commission of inquiries are for the public interest not personal uses
 
Kwa hiyo unasema mtu akishabakwa mara moja basi ajirahisishe tu ili aendelee kubakwa>
 
huu ndio uendawazimu wa watanzania (CCM), serikali haipo kwa ajili ya ilani ya chama, ilani ya chama ni upumbavu na kwa maneno mengine ni rushwa ya ahadi ili mgombea apate kura. huwezi kuacha kuchagua mtu anayejielewa uchague popoma kwa kua tu unategemea serikali "ikufanyie" kitu. mtakuja kufa maskini
2015 Jiji la DSM lilikuwa chini ya Chadema, walifanya nini zaidi ya kutekeleza ilani ya CCM ikiwemo kuhamisha Stand Kuu ya mabasi ya mkoani kuipeleka Mbezi!
 
"Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile"



Sasa kuna haja gani ya vyama vingi wakati ilani ni ya chama kimoja?😳🤔
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Unajitahidi kwenye "kambeni"!Mikumi tena kwa Mwamgaya.
 
Back
Top Bottom