johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo
Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala
Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile
Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja
Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020
Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀
Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala
Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile
Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja
Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020
Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀
Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼