LGE2024 Unachagua Wapinzani Serikali ya Mtaa Ili wakufanyie nini wakati Serikali Kuu ni ya CCM?

LGE2024 Unachagua Wapinzani Serikali ya Mtaa Ili wakufanyie nini wakati Serikali Kuu ni ya CCM?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tanganyika ya wapumbav kama wewe . Unapigana na mtu amefungwa mikondp kisha unampiga halafu unajisifu?
Kuna wenzako wanashangaa hata chama kuomba michango kwa wañachama wake? Ni juzi tu hapa USA watu wamechangia mamilion ya dola kusaidia kampeni za vyama vyao. Sijaona wala kusikia mtu wa chama kingine huko US akikinanga chama kingine ati wanachama wake wanachangiq kampeni.
Wanakwenda mbali zaidi kuomba mpaka ttaarifa mitandaoni
Hilo ndio tatizo kubwa, juzi USA, jana Botswana, leo Mozambique Kesho itakuwa sijui wapi, zingatia ulipo simama, upo Tanganyika master hayo ya US waachie wao... huku hakuna wachina wazungu, waarabu, wahindi, Latinos, Persians n.k kwenye system moja.... upo eneo la maziwa makuu mkuu, tena TZ inakauafadhari kidogo kuzidi dada zake UG, Rwanda, Burundi... nk

Dukani unapata ulicholipia...kila bidhaa ina Gharama zake, upo tayari kuzilipia kwa vitendo?
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Wewe kumbe ni BOGA SANA sikujua?? Kwahiyo vyama vingi vipi kwanini???

UJINGA NI MZIGO 🤔🤔🤔
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Punguza uchawa.
 
Hofu ya CCM ni nini wakati taratibu za kuharibu uchaguzi kama ule wa 2019 zimeshakamilika?
Subirini kutangaza ushindi wa Kishindo!
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Ukiangalia ni ujinga wa Karne ,hata ukichagua Mbunge au diwani ni Yale yake na Serikali ikiamua kuwaadhibu itafanya hivyo na hawana Cha kufanya
 
Kwani tukichagua wapinzani wakasimamia Sera na kusimamia ilani ya CCM ni dhambi? Kwa kuwa hakuna Sera au ilani ya chama inayoelekeza kuchinja watu zote zinaelekeza kuwaletea maendeleo wananchi,hata CCM yenyewe ambayo iko madarakani Sera zake nyingi na ilani yake imeigiza kutoka kwa wapinzani na inazifanyia kazi.
 
Ili tusilipishwe 5000 ya mihuli na mikopo ya halmashauri isitolewe kiupendeleo ndio maana watu wanataka upinzani
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Mimi nachagua upinzani ili mwakani niiondoe sisiemu madarakani. Ushindi wa chadema kwanye serikali za mitaa ni mwanzo wa kupata maendeleo kwenye mitaa yetu
 
Ingekiwwa hivyo basi hata watoto wasingeandikishwa la Kwanza Badala yake wangepelekwa Moja Kwa Moja chip kikuu🤣😭😭
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼

kwani ushajua ni chama gani kitashinda uchaguzi mkuu mwakani?

YESU NI KRISTO
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Akili mgando hizi kwa niaba ya double kick
 
Kwa Mfumo wa Tanzania Serikali za Mitaa ni tegemezi kwa Serikali Kuu hivyo zinatekeleza Ilani ya chama kinachotawala kwa wakati huo

Sasa ukichagua Chadema au ACT wazalendo bado utakuwa umechagua CCM ile ile kwa sababu ndiyo Ilani yake inatawala

Sasa kwanini ujihangaishe badala ya kuchagua tu CCM Moja kwa Moja kwa Sababu Utake usitake Ilani ni Ile ile

Wanasiasa wa Zanzibar kwa sababu Wana Akili kubwa kitambo sana hili swala walishaliona wakaamua Chaguzi zote zifanyike wakati Mmoja

Kwahiyo Uchaguzi huu ni kuchagua Watu tunaowapenda tu iwe kwa sura au muonekano lakini Ilani ya Uchaguzi ilishachaguliwa 2020

Ukiwa Mjinga unaweza kupoteza Muda wako ukadhani unachagua chama kumbe CCM ilishachaguliwa kitambo 😀😀

Makamanda mnaweza kukasirika lakini Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 🐼
Dogo Unajidaigi una akili lakini ni empty headed Kwani mwakani hakuna uchaguzi? Mkuu
 
Back
Top Bottom