LGE2024 Unachagua Wapinzani Serikali ya Mtaa Ili wakufanyie nini wakati Serikali Kuu ni ya CCM?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Pambafff wewe na ukoo wako wote! Kwamba nchi ni mali ya ccm?
 
Sasa kuna haja gani ya vyama vingi wakati ilani ni ya chama kimoja?πŸ˜³πŸ€”
Chama kinachoshinda kinaachwa kilete Maendeleo ndio sababu Shujaa Magufuli alizuia Mikutano ya Siasa kabla ya uchaguzi πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hata Vyama vya Upinzani ni Mali ya CCM kama unabisha muulize mchungaji Msigwa πŸ˜€
Wewe ni mpuuzi kama walivyo wenzio,hata kama una kaelimu nyemelezi bado hakijakusaidia...endelea kuipigia upatu ccm,itakuoa siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…