Unadhani CCM itachukua hatua gani dhidi ya Luhaga Mpina anayetumikia adhabu ya kutohudhuria vikao 15?

Unadhani CCM itachukua hatua gani dhidi ya Luhaga Mpina anayetumikia adhabu ya kutohudhuria vikao 15?

Malipo ni hapa hapa duniani.
Tatizo watu wanasahau mapema mno.
Halafu kumfungia Mpina kunawanyima wapiga kura wake haki ya kuwakilishwa.
Sana Sana Mpina atakosa Ile posho ya kuingia bungeni x 15 ambayo haifiki hata milioni nne.
Mpina kuanzia Sasa ukinywa bia, unywe straight from the bottle. Ukipewa kitu na MTU usiyemjua usipokee. Maji ya kunywa nunua mwenyewe na usiagize chakula hapo hotelini unapokaa. Infact usilale kwenye hoteli moja zaidi ya siku moja kwani shuka zinaweza kupuliziwa marashi ya Pemba.
 
Malipo ni hapa hapa duniani.
Tatizo watu wanasahau mapema mno.
Halafu kumfungia Mpina kunawanyima wapiga kura wake haki ya kuwakilishwa.
Sana Sana Mpina atakosa Ile posho ya kuingia bungeni x 15 ambayo haifiki hata milioni nne.
Mpina kuanzia Sasa ukinywa bia, unywe straight from the bottle. Ukipewa kitu na MTU usiyemjua usipokee. Maji ya kunywa nunua mwenyewe na usiagize chakula hapo hotelini unapokaa. Infact usilale kwenye hoteli moja zaidi ya siku moja kwani shuka zinaweza kupuliziwa marashi ya Pemba.
kwahiyo unamfundisha kuishi kama sungura, leo hapa kesho pale 🤣

ya nini kujikosesha amani kiasi hicho kwa jeuri, kiburi, uzushi au uongo?

huenda haya ndio malipo ya kuchoma nyavu za wavuvi wavuja jasho wadogo wadogo au ndio malipo ya kuangamiza mamilioni ya vifaranga vya kuku bila kujali hasara walizopata wafanyabiara hao, au ni malipo ya kutaifisha ng'ombe, mbuzi, kondoo na punda za wafugaji na kuwadhulumu mali zao?

ama kwa hakika malipo ni hapa hapa duniani kama ulivyosema gentleman kuhubiri 🐒
 
Nimesoma maoni yote kila mtu yupo kinyume na maamuzi ya bunge kuhusu ,hukumu ya mpina , kuna siku nilikuuliza kuhusu hili la wengi kukupinga humu hauoni kuwa inaweza kuwa sample ya maoni ya wa tanzania wengi,
Ukasema hizo ni I'd za kujirudia naona pia I'd ya Bantu lady na wengine wote humu ni yangu pia 🐒.
shukran sana kwa kuzingatia na kutilia maanani ushauri,maoni na jibu langu la msingi juu ya dhana ya kuamini na kutegemea complement, constructive and deconstructive criticisms mitandaoni 🐒

kama bado kuna mwanasiasa hajaishi athari ya dhana hiyo basi bado ni learner katika medani hii, ni vizuri akajiandaa kisaikolojia kudhibiti hisia zake wakati wa matokeo, huenda akafanya maamuzi mabaya mno hususani ya kutoa kauli mbovu au mbaya baada ya kuangukia pua kwenye Uchaguzi baada ya kuzingatia na kupumbazwa na sifa za kukubaliwa au kukataliwa mitandaoni 🐒

kuna wagombea na vyama vyao, mpaka tunavyo jadiliana hivi sasa wanateswa na athari za kauli zao baada ya kuvimbishwa kichwa mitandaoni na field ikawa tofauti sana..

na matokeo yake wakaanza kuwabeza na kuwadhihaki wananchi kwa kwaita majina mbalimbali mathalani, ni wajinga, hawajielewi n.k.

wananchi wanakumbuka na bado mtu yule anarudi tena kuomba uongozi kwa aliewaita wajinga. na hivi sasa kuondoa dhihaka hiyo ya kauli kwa wananchi wanaoishi ni ngumu mno na huwez eleweka...

bila shaka nadhani unaweza kua unahisi nazungumzia chama na pengine wanasiasa gani 🐒
kuhitimisha maelezo haya marefu sana, nachelea kusisitiza kwamba mitandaoni na filed mambo ni tofauti kama usiku na mchana 🐒
 
huna maono hata kidogo kisiasa, kwamba mambo yanaweza kuaje kwenye chama chake?🐒
Ila hii Strategy ya Bashe kuliflood Soko na kuondoa Scarcity ni nzuri ila mwambieni atafute wawekezaji waje kuwekeza kwenye Viwanda vya Sukari ili hii Nchi ijitosheleze sio kukalia upigaji tu.
 
Back
Top Bottom