Unadhani Freeman Mbowe au Tundu Lissu, mmojawapo akishinda itakuwaje?

Unadhani Freeman Mbowe au Tundu Lissu, mmojawapo akishinda itakuwaje?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kama Freeman Aikael Mbowe akishinda au Tundu Antipas Lissu akishinda, unadhani kitatokea nini kwenye mtizamo na msimamo wa CHADEMA juu ya mambo haya yafuatayo;

1. Marekebisho ya Katiba ya CHADEMA
2. Ruzuku inayotolewa Kwa CHADEMA
3. Mgombea Urais chadema uchaguzi Mkuu mwaka 2025.
4. Mfumo wa upatikanaji viti maalum kwa BAWACHA
5. Uimarishwaji wa BAVICHA
6. Mchango wa BAZECHA kwenye CHADEMA
7. Mfumo wa kusimamia mapato na matumizi ya fedha za CHADEMA.
8. CHADEMA na siasa za Zanzibar
9. CHADEMA na maridhiano na CCM
10. Marekebisho ya Katiba ya JMT na Sheria za uchaguzi

Hayo ni baadhi ya mambo ambayo watanzania wanaweza kubashiri kitatokea nini kama mmojawapo kati ya hao wawili akishinda na kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Odero naye aangaliwe kwa jicho la tatu.
 
Kama Freeman Aikael Mbowe akishinda au Tundu Antipas Lissu akishinda, unadhani kitatokea nini kwenye mtizamo na msimamo wa CHADEMA juu ya mambo haya yafuatayo;

1. Marekebisho ya Katiba ya CHADEMA
2. Ruzuku inayotolewa Kwa CHADEMA
3. Mgombea Urais chadema uchaguzi Mkuu mwaka 2025.
4. Mfumo wa upatikanaji viti maalum kwa BAWACHA
5. Uimarishwaji wa BAVICHA
6. Mchango wa BAZECHA kwenye CHADEMA
7. Mfumo wa kusimamia mapato na matumizi ya fedha za CHADEMA.
8. CHADEMA na siasa za Zanzibar
9. CHADEMA na maridhiano na CCM
10. Marekebisho ya Katiba ya JMT na Sheria za uchaguzi

Hayo ni baadhi ya mambo ambayo watanzania wanaweza kubashiri kitatokea nini kama mmojawapo kati ya hao wawili akishinda na kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Odero naye aangaliwe kwa jicho la tatu.
FAM ndiye mshindi
 
Akipita Lissu naona kipaumbele chake cha kwanza kitakuwa ni kufanya marekebisho ya katiba ya chama.

Baada ya hapo atakuja kuunda mfumo wa kimapato ambao utakuwa haumtegemei mtu mmoja.

Na pia pesa zote zinazopatikana zitakuwa kwenye akaunti rasmi ya chama na zitabainishwa wazi kwa wanachama na wananchi waliokuwa sehemu ya kuchangia.

Commitment ya mapambano itaongezeka kuanzia ngazi za chini za wanachama na imani ya wananchi kwenye uongozi chini ya Lissu utaongezeka pia.
 
Kama Freeman Aikael Mbowe akishinda au Tundu Antipas Lissu akishinda, unadhani kitatokea nini kwenye mtizamo na msimamo wa CHADEMA juu ya mambo haya yafuatayo;

1. Marekebisho ya Katiba ya CHADEMA
2. Ruzuku inayotolewa Kwa CHADEMA
3. Mgombea Urais chadema uchaguzi Mkuu mwaka 2025.
4. Mfumo wa upatikanaji viti maalum kwa BAWACHA
5. Uimarishwaji wa BAVICHA
6. Mchango wa BAZECHA kwenye CHADEMA
7. Mfumo wa kusimamia mapato na matumizi ya fedha za CHADEMA.
8. CHADEMA na siasa za Zanzibar
9. CHADEMA na maridhiano na CCM
10. Marekebisho ya Katiba ya JMT na Sheria za uchaguzi

Hayo ni baadhi ya mambo ambayo watanzania wanaweza kubashiri kitatokea nini kama mmojawapo kati ya hao wawili akishinda na kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Odero naye aangaliwe kwa jicho la tatu.
Freeman Mbowe anashinda uchaguzi huu asubuhi na mapema kwa zaidi ya kura 65%.
 
Back
Top Bottom