Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?

Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?

Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.

That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.

Kinachoendelea hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.

Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!

U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future

Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹

Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
Trump amechaguliwa strategical, kuna ambayo yaliwashinda akina Biden, suala la Ukraine liltukera sana wamarekani kwa kutokumalizwa that 1,
Secondly Trump atasaidia kuupumzisha mgogoro wa Gaza although sisi wamarekani lengo kubwa ni kuwaondosha Palestine katika eneo lile, sasa imekuwa ngumu sana, tunaona tuwekeane mipaka mahususi, yenye border entry ili baadae kila nchi imuheshimu mwenzake, na uchokozi wowote, ukemewe na ulimwengu mzima ili mmoja wao ambaye ni mchokozi asije kulalama!
 
Wacha uchawi dogo..
Ondoa hilo neno Democratic, au angalau kuwa mkweli, weka neno Dictatorship
kiongozi wa Cameroon Pau Biya ni kiongozi wa chama tawala tangu uhuru, nadhani ni sawa na huyu mwamba wa kaskazini, kiongozi wa chama cha kulalamika. Hao ndio ambao wanastahili kuitwa madictator gentleman , kwasabb hawataki kuachia wengine kuongoza chama 🐒
 
kiongozi wa Cameroon Pau Biya ni kiongozi wa chama tawala tangu uhuru, nadhani ni sawa na huyu mwamba wa kaskazini, kiongozi wa chama cha kulalamika. Hao ndio ambao wanastahili kuitwa madictator gentleman , kwasabb hawataki kuachia wengine kuongoza chama 🐒
Anzia nyumbani dogo, mbona chichiemu hawataki haki itamalaki?
Acheni uchaguzi uwe huru na haki ili muaminike basi
 
Anzia nyumbani dogo, mbona chichiemu hawataki haki itamalaki?
Acheni uchaguzi uwe huru na haki ili muaminike basi
hapo byumbani kwako chadema, right?

nilisema mwanzoni kwamba,
ikiwa fomu ya kugombea unashindwa kujaza ni kitu gani unaweza kushinda wewe?🤣

labda unaweza kushinda njaa, lakini sio uchaguzi 🐒
 
Yeye na CCM hawawezi KURUHUSU hilo kutokea, kamwe
 
hapo byumbani kwako chadema, right?

nilisema mwanzoni kwamba,
ikiwa fomu ya kugombea unashindwa kujaza ni kitu gani unaweza kushinda wewe?🤣

labda unaweza kushinda njaa, lakini sio uchaguzi 🐒
Dogo,
Acha masihara kwenye mambo ya msingi.
Kuna mgombea mmoja wa CCM kule Arusha kwenye fomu yake, sehemu ya tarehe ya kuzaliwa aliandika December 2024, sikumbuki tarehe, ila kapitishwa!!!
 
Dogo,
Acha masihara kwenye mambo ya msingi.
Kuna mgombea mmoja wa CCM kule Arusha kwenye fomu yake, sehemu ya tarehe ya kuzaliwa aliandika December 2024, sikumbuki tarehe, ila kapitishwa!!!
masikhara wanafanya wasioweza kujaza fomu za uongozi gentleman,

vyama makini kama ccm na vinginevyo, kwanza wako very serious kwenye uchaguzi, hawategemei huruma ya yeyote, wala haina mzaha wala haya katika kuhakikisha kwamba inashinda uchaguzi, inakamata dola, inaunda serikali na kuongoza nchi..

hizo porojo na story za pata pote fanyeni nyinyi ambao hamkujiandaa 🐒
 
vyama makini kama ccm
CCM hakuna umakini wowote, labda umàkini wa kupendelewa tu.

Nimekuambia Arusha mwana CCM kajaza kuwa amezaliwa December 2024, tarehe ya mbele ambayo hata sasa haujafikiwa ila amepitishwa. Hapo kuna umakini gani?
 
CCM hakuna umakini wowote, labda umàkini wa kupendelewa tu.

Nimekuambia Arusha mwana CCM kajaza kuwa amezaliwa December 2024, tarehe ya mbele ambayo hata sasa haujafikiwa ila amepitishwa. Hapo kuna umakini gani?
Hakuna umakini na kinashinda kila uchaguzi gentleman? Mzaha na masikhara ya kujaza fomu za uongozi unahamishia kwenye ukweli huu kweli?

wacha niinjoy cha pili cha Taifa Stars kwanza hayo ya Arusha malizaneni kiaina 🌹
 
Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.

That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.

Kinachoendelea hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.

Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!

U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future

Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹

Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
USA kuna tume ya uchaguzi? Nani mwenyekiti?
 
Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.

That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.

Kinachoendelea hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.

Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!

U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future

Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹

Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
Angetoboa tu Kwa upinzani upi?
 
Back
Top Bottom