Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAG anatoa ripoti hakuna mwenye mda nayo, na wenye mda nayo haana nguvu ya kufanya maamuzi! johnthebaptist Mshana Jr Erythrocyte Lucas Mwashambwa OKW BOBAN SUNZU ChoiceVariableWatanzania ni wapumbavu kupitiliza.
Ripoti inatolewa kisiasaCAG anatoa ripoti hakuna mwenye mda nayo, na wenye mda nayo haana nguvu ya kufanya maamuzi! johnthebaptist Mshana Jr Erythrocyte Lucas Mwashambwa OKW BOBAN SUNZU ChoiceVariable
Bunge na Rais ni taasisi za kisiasa unashangaa vipi ripoti kutolewa kisiasa!!Ripoti inatolewa kisiasa
Kwahiyo Mkuu umeangaliaa weee hadi ukaona rangi ya CHADEMA! Kwahiyo CHADEMA ndio wako waduchu hawawezi kupambana?Kwamba Chadema tu ndo wamesimama kumsikiliza CAG wengine wote hawajui hata CAG ni nani... Akiwemo MaMa
Hiii iko wazi mno... Muite makonda muulize CAG amebaini nini kwenye ripoti yake? Atakuwa bubu.Kwahiyo Mkuu umeangaliaa weee hadi ukaona rangi ya CHADEMA! Kwahiyo CHADEMA ndio wako waduchu hawawezi kupambana?
Huyo ulisema CHADEM anaonekana mdogo sana kuliko wanaoendelea na safari, kwahivyo umenaanisha CHADEMA hawana la kufanya? ni wadogo mnooo kuliko serikali? Kelele wazopiga hazisaidii?Hiii iko wazi mno... Muite makonda muulize CAG amebaini nini kwenye ripoti yake? Atakuwa bubu.
Lakini jichanganye umuite Freeman mbowe au Tundu Lissu. UTAKIMBIA.
Sio serikali tu, hata wananchi wa kawaida wanapita bila kujali... Kimsingi CAG amekuwa kama ni kada wa chadema na anapendwa na Chadema kuliko CCM. Naamini pia kuna wananchi wengine hawampendi.Huyo ulisema CHADEM anaonekana mdogo sana kuliko wanaoendelea na safari, kwahivyo umenaanisha CHADEMA hawana la kufanya? ni wadogo mnooo kuliko serikali? Kelele wazopiga hazisaidii?
Siasa hainaga kukosea 😄😄Bunge na Rais ni taasisi za kisiasa unashangaa vipi ripoti kutolewa kisiasa!!
Tatizo wanasiasa wa Tanzania ni CCM ambao kwa kawaida ni watu wasiojali maslahi ya watanzania wala hawajisumbui kuona chama chao kinakosea.
Ndiyo. Perception is the determinant factor!!Siasa hainaga kukosea 😄😄
Mbowe hakukosea kumleta LowassaNdiyo. Perception is the determinant factor!!
Yes. Its just a perception.Mbowe hakukosea kumleta Lowassa
Mbowe hakukosea kuomba maridhiano na CCM
Mbowe hatakosea kuomba tena Uenyekiti wa Chadema
😄😄😄
Kama ameangalia shati la rangi ya CdmKwahiyo Mkuu umeangaliaa weee hadi ukaona rangi ya CHADEMA! Kwahiyo CHADEMA ndio wako waduchu hawawezi kupambana?
kwanini, kwani wameiba mara ngapi, kasema mara ngapi, CAG hana tofauti na kifaa alichoshika mkononi, anao-dili nao ni mamba na CAG ni mkia wa huyo mamba, short and clear mamba hawezi dili na mkia wake...Watanzania ni wapumbavu kupitiliza.
Watanzania ni wapumbavu kupitiliza.