Mohammed Khatibu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 1,170
- 1,617
Ifikie hatua hesab za serikal zikaguliwe na kuripotiwa na independent auditors kama ilivyo kwa mashirika binafsi.
Kwa hali ilivyo ni kama katiba inaruhusu serikal ijikague yenyewe kitu ambacho ni hatari sana.
Tabia ya CAG kuteuliwa na PURT iwe mwisho.
Kwa hali ilivyo ni kama katiba inaruhusu serikal ijikague yenyewe kitu ambacho ni hatari sana.
Tabia ya CAG kuteuliwa na PURT iwe mwisho.