Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malaika kama malaikaTupo kwenye Semina jaman acheni hizi mada tunashindwa kunyanyuka kuchangia vikao huku.
kilichopo,Pengine wanao watu wanaelewa au laah wanaona magonjwa yamepungua lakini si hivo,magonjwa yapo na yanazidi kuongezeka Kila kukicha
Wale waliochoma sindano ya CORONA inawauma sana wakiona sisi ambao hatukuchoma bado tupo haikwahiyo ilikua ni kama korona tu, right?
vp gono na kaswende sasa, achilia mbali UTI sugu š
š¤š¤kilichopo,
shinikizo la damu, stress, matatizo ya akili n.k,
ndio magonjwa maarufu zaidi kulikoni yale ya hatari na fedheha kama vile ukimwi gono na kaswende , kulikoni? š
UTI pia ni uhuni kama ilivyo kwa ukimwi tu.UTI sugu š
Una wahi tu kwenda kuoga - Zuma stylemnapambanaje na ukimwi, gono, kaswende na UTI sugu gentleman? š
sasa kumbe je,kwamba mpiga nyeto anaenjoy kuliko mtumia kondomu? dahš¤£
maambukizi ya zinaa yote tu ni fedheha kwakweli,UTI pia ni uhuni kama ilivyo kwa ukimwi tu.
UTI ni maambukizi kwenye njia ya mkojo. Kwahiyo hakuna dawa za UTI, bali kuna dawa za maambukizi hisika. Sijui unanielewa?? Kwahiyo usikariri kuwa kuna dawa special za UTI.
Lkn madaktari wetu hawa wa mchongo wamewaaminisha watu kuwa UTI ni ugonjwa, wenye tiba fulani. Mxiuuuuu?
Wafadhili wamepunguza fungu kwenye hilo eneo.Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani.
Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia kondomu, Lakini nyakati hizi mtu mmoja anaweza kuwa na michepuko au mipango ya kando kadha, Lakini hatumii kondomu na hajali hata kuitafuta, ni motro kwendra mbele...
Mbaya zaidi hata wanao nunua mapenzi mtaani kwa wanaojiuza, eti kuna bei elekezi kabisa kwamba kwa kutumia kondomu kiasi fulani na kavu kavu bila kutumia kondomu kiasi fulani..
aise hatari sana dah...
Lakini pia matangazo ya tahadhari juu ya umuhimu na matumizi sahihi ya kondomu hayaonekani tena kwenye vyombo vya habari Lakini pia kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii...,
Je,
Watu wameelewa sana kuhusu jambo hili au kitisho cha maambukizi ya magonjwa mabaya ya zinaa kama vile ukimwi, gono na kaswende vimepungua?
Au kuna mbadala wa njia bora zaidi za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa ambazo hazina madhara kiafya dhidi ya matumizi ya kondomu zimebuniwa?
Na vipi muungwana,
Mara ya mwisho umeiona kondomu wapi?
Na umetumia kondomu lini kwa mara ya mwisho na kwanini ilikuwa mwisho?š
We mzee weweUkimwi wasasa hauna nguvu tena