Unadhani kwanini matumizi ya kondomu na matangazo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii yamepungua mno?

Unadhani kwanini matumizi ya kondomu na matangazo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii yamepungua mno?

Pengine wanao watu wanaelewa au laah wanaona magonjwa yamepungua lakini si hivo,magonjwa yapo na yanazidi kuongezeka Kila kukicha
kilichopo,
shinikizo la damu, stress, matatizo ya akili n.k,
ndio magonjwa maarufu zaidi kulikoni yale ya hatari na fedheha kama vile ukimwi gono na kaswende , kulikoni? šŸ’
 
UTI sugu šŸ’
UTI pia ni uhuni kama ilivyo kwa ukimwi tu.

UTI ni maambukizi kwenye njia ya mkojo. Kwahiyo hakuna dawa za UTI, bali kuna dawa za maambukizi hisika. Sijui unanielewa?? Kwahiyo usikariri kuwa kuna dawa special za UTI.

Lkn madaktari wetu hawa wa mchongo wamewaaminisha watu kuwa UTI ni ugonjwa, wenye tiba fulani. Mxiuuuuu?
 
UTI pia ni uhuni kama ilivyo kwa ukimwi tu.

UTI ni maambukizi kwenye njia ya mkojo. Kwahiyo hakuna dawa za UTI, bali kuna dawa za maambukizi hisika. Sijui unanielewa?? Kwahiyo usikariri kuwa kuna dawa special za UTI.

Lkn madaktari wetu hawa wa mchongo wamewaaminisha watu kuwa UTI ni ugonjwa, wenye tiba fulani. Mxiuuuuu?
maambukizi ya zinaa yote tu ni fedheha kwakweli,

kwenye suluhu ya UTI, generation ya sasa kijana akipitisha mshedede kwenye mbususu isiyoeleweka breki ni famasi kwenye Azuma ananunua huku anaona aibu 🤣
 
Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani.

Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia kondomu, Lakini nyakati hizi mtu mmoja anaweza kuwa na michepuko au mipango ya kando kadha, Lakini hatumii kondomu na hajali hata kuitafuta, ni motro kwendra mbele...

Mbaya zaidi hata wanao nunua mapenzi mtaani kwa wanaojiuza, eti kuna bei elekezi kabisa kwamba kwa kutumia kondomu kiasi fulani na kavu kavu bila kutumia kondomu kiasi fulani..
aise hatari sana dah...

Lakini pia matangazo ya tahadhari juu ya umuhimu na matumizi sahihi ya kondomu hayaonekani tena kwenye vyombo vya habari Lakini pia kwenye majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii...,

Je,
Watu wameelewa sana kuhusu jambo hili au kitisho cha maambukizi ya magonjwa mabaya ya zinaa kama vile ukimwi, gono na kaswende vimepungua?

Au kuna mbadala wa njia bora zaidi za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa ambazo hazina madhara kiafya dhidi ya matumizi ya kondomu zimebuniwa?

Na vipi muungwana,
Mara ya mwisho umeiona kondomu wapi?

Na umetumia kondomu lini kwa mara ya mwisho na kwanini ilikuwa mwisho?šŸ’
Wafadhili wamepunguza fungu kwenye hilo eneo.
 
Back
Top Bottom