Kweli kabisa,kama sio miaka 20 basi itakuwa 15!!SASA KAZI INAANZA MBOWE ANAKULA MIAKA MPAKA KIBATALA HATAKI MASHAHIDI WAJULIKANE NI KINA NANI? MBOWE KWISHA KAZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa,kama sio miaka 20 basi itakuwa 15!!SASA KAZI INAANZA MBOWE ANAKULA MIAKA MPAKA KIBATALA HATAKI MASHAHIDI WAJULIKANE NI KINA NANI? MBOWE KWISHA KAZI
Kwako Magufuli alikua mungu sio? Pole sana.Tangu wampige vita magufuli hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kuwasikiliza chadema tena,ukizingatia watz wengi tuna mashaka na kifo cha magufuli kuwa siyo cha mapenzi ya mungu ila kuna mikono ya waharifu.kwa sasa chadema na viongozi wake wapo hatarini kuliko wakati wa magufuli wasipo jitambua kuwa uma wa watz haupo nyuma yao wataumizwa sana na kutoweshwa ,acha tucheki ili muvi la gaidi mbowe
😂😂Ccm wanajua mentality ya watanzania ilivyo ndiyo maana wao wanajilia kiulain tuInachekesha sana mkuu!
.
Yani eti unawapigania watz?
Watz ambao yeye Mbowe yuko ndani karibu mwezi wa pili ila mada kuu kwa wtz ni simba na yanga basi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kutania mkuuNdio maana mabeyo anashauri kesi ifutwe na haina tija ila wanampuuza sitashangaa Kama atachukua Nchi kabla ya 2025
Maana alitoa miezi 6 ya mabadiliko makubwa ila hakuna kitu Bora tuwe Kama Guinea tu.
Iliyopata uhuru ni tanganyika. Ye anatafuta uhuru wa tanzaniamadai yake anatafuta uhuru wa tz yaani hata hajui kama nchi ilishaga pata uhuru toka mwaka 1961
Tangu wampige vita magufuli hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kuwasikiliza chadema tena,ukizingatia watz wengi tuna mashaka na kifo cha magufuli kuwa siyo cha mapenzi ya mungu ila kuna mikono ya waharifu.kwa sasa chadema na viongozi wake wapo hatarini kuliko wakati wa magufuli wasipo jitambua kuwa uma wa watz haupo nyuma yao wataumizwa sana na kutoweshwa ,acha tucheki ili muvi la gaidi mbowe
alikuwa MAGUFULI THE GREATKwako Magufuli alikua mungu sio? Pole sana.
Kama itakuwa magu aliuliwa basi wali muua awawezi awawezi kuruhusu nguvu yoyote itakayo hatarisha uongozi wao kwa kuwa wanajua wanaweza kuteketea kwa walicho kifanya kama watakosea kidogo tu .Kwa hiyo Chadema ndiyo Chanzo cha kifo cha mwenda zake? Ama sijakuelewa vizuri?.
Nb:, Ninachojua mimi watanzania hawajawai msikilize mtu.
I'm stand to be corrected.
Lini uliteuliwa kuwa msemaji/mropokaji wa wa-Tanzania? Semea nafsi yako. Isitoshe huyo shetani wako hakumbukwi kwa lolote la maana.Tangu wampige vita magufuli hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kuwasikiliza chadema tena,ukizingatia watz wengi tuna mashaka na kifo cha magufuli kuwa siyo cha mapenzi ya mungu ila kuna mikono ya waharifu.kwa sasa chadema na viongozi wake wapo hatarini kuliko wakati wa magufuli wasipo jitambua kuwa uma wa watz haupo nyuma yao wataumizwa sana na kutoweshwa ,acha tucheki ili muvi la gaidi mbo
Hii kes. GOV wangeachana nayo maana haileti picha nzuri zaidi ya kujichafua kimataifa.Inawezekana ni maofisa wa JWTZ, mtuhumiwa wa 1 hadi 3 walikuwa makomandoo pale ngerengere.
Wanaweza kutoa ufafanuzi wa askari wa zamani kubaki na sare za jeshi kama ni kosa au la hata kama hakuzitumia kufanya uhalifu wowote.
Kwakweli hii kesi ni kujipaia kinyesi tu kwa serikali hii ya awamu ya 'sita'.
Watajifunza pindi likitokeaHii kes. GOV wangeachana nayo maana haileti picha nzuri zaidi ya kujichafua kimataifa.
SASA KAZI INAANZA MBOWE ANAKULA MIAKA MPAKA KIBATALA HATAKI MASHAHIDI WAJULIKANE NI KINA NANI? MBOWE KWISHA KAZI
Chini ya 18 huyu Bila shaka,vinginevyo akanushe hapa...una umri gani?
..mwaka 1984 wakati wa kesi ya UHAINI upande wa mashtaka / serikali uliomba mashahidi wawili utambulisho wao uwe wa siri.
..mahakama kuu ilikubali na kukawa na mashahidi waliojulikana kama "shahidi X" na "shahidi Y."
..kesi ya uhaini iliamuliwa na Jaji Kiongozi wa wakati huo Nassoro Mzavas.
Kweli kabisa, ila ujue insu ya Katiba ni jambo lenye ugumu karibu TAWALA zote isipokuwa Mkwere ustaarabu wa siasa Safi ulitaka kumponza akaanzisha mchakato wa Katiba mpya, wenye Chama Chao wakamuwaikwa kumuonya matokeo yake Warioba akapigwa makofi na mwijukuu wake.Kama itakuwa magu aliuliwa basi wali muua awawezi awawezi kuruhusu nguvu yoyote itakayo hatarisha uongozi wao kwa kuwa wanajua wanaweza kuteketea kwa walicho kifanya kama watakosea kidogo tu .
Kwa hivyo kama kifo cha magu ni mkono wa mtu basi swala la katiba mpya litakuwa ndoto ya mchana
Una kumbukumbu nzuri lakini unasahau kwamba wakati huo walaghu mahakama ilikuwa na uti Mgongo tofauti na Sasa...una umri gani?
..mwaka 1984 wakati wa kesi ya UHAINI upande wa mashtaka / serikali uliomba mashahidi wawili utambulisho wao uwe wa siri.
..mahakama kuu ilikubali na kukawa na mashahidi waliojulikana kama "shahidi X" na "shahidi Y."
..kesi ya uhaini iliamuliwa na Jaji Kiongozi wa wakati huo Nassoro Mzavas.
....ile sms Ya Muamala wa Laki 6 Vipi?...Ni miongoni mwa hivyo vingi??!Hali imebadilika mahakamani baada ya Kibatala kuomba Mashahidi wanne wasitajwe mahakamani kwa Usalama wao. Hali hii imepelekea Mawakili wa Jamhuri kuomba kesi iarishwe au la sivyo isikilizwe bila kuwepo watu mahakamani.
Je, Mashahidi hao ni waking Nani? Lakini kwa upande mwingine Jamhuri imetoa vielelezo ambapo vielelezo vyote vinatokana na kazi za awali za watuhumiwa wa Kwanza Hadi watatu na hukuna kilipuzi kwenye vielelezo hivyo. Vingi ya vielelezo ni sare za kaxi za Jeshi .
.....Ni mtata Sana last time alileta Uzi kafariki Dunia...ajabu karudi bila Uzi wa kufufuka..tatizo lako wewe dada nshomile unaletaga habari sensitive, lkn unapotea hata hutoi response ukiulizwa
Source Mkuu Tafadhari!!Ndio maana mabeyo anashauri kesi ifutwe na haina tija ila wanampuuza sitashangaa Kama atachukua Nchi kabla ya 2025
Maana alitoa miezi 6 ya mabadiliko makubwa ila hakuna kitu Bora tuwe Kama Guinea tu.
Ushahidi je tukikuita utatoa?Ndio maana mabeyo anashauri kesi ifutwe na haina tija ila wanampuuza sitashangaa Kama atachukua Nchi kabla ya 2025
Maana alitoa miezi 6 ya mabadiliko makubwa ila hakuna kitu Bora tuwe Kama Guinea tu.
Kama tulipata Uhuru 1961..mbona nchi masikini Sana au viongozi hawana akili😂😂😂😂madai yake anatafuta uhuru wa tz yaani hata hajui kama nchi ilishaga pata uhuru toka mwaka 1961