Unadhani Mashahidi wanne ambao wameombwa kulindwa wasitajwe na Kibatala kesi ya Mbowe ni wakina nani?

Unadhani Mashahidi wanne ambao wameombwa kulindwa wasitajwe na Kibatala kesi ya Mbowe ni wakina nani?

Kama tulipata Uhuru 1961..mbona nchi masikini Sana au viongozi hawana akili😂😂😂😂
yaani unaonyesha kabisa huo ni ushabiki maandazi lakini ukweli unauonahivi tanzania ya miaka ya 61 na ya sasa viko sawa? wakati wewe unaenda shule bila viatu ni sawa na watoto wako sasa wanaenda kwa school bus? msikufuru acheni huo ushabiki tumepiga hatua kubwa sana sema nchi gani ambayo imetuzidi kiasi cha kutisha east africa
 
yaani unaonyesha kabisa huo ni ushabiki maandazi lakini ukweli unauonahivi tanzania ya miaka ya 61 na ya sasa viko sawa? wakati wewe unaenda shule bila viatu ni sawa na watoto wako sasa wanaenda kwa school bus? msikufuru acheni huo ushabiki tumepiga hatua kubwa sana sema nchi gani ambayo imetuzidi kiasi cha kutisha east africa
Nimekulia masaki na primary Obay hayo maisha nayaona kwenye documentary😂😂😂
 
tatizo lako wewe dada nshomile unaletaga habari sensitive, lkn unapotea hata hutoi response ukiulizwa
Pia zinakuwa kwa makusudi pungufu, sasa kwa nakusudi kwa faida yake au kuelemisha wana JF.
Naambiwa nambiwa na mtuu wa ndani wa Mahakaani ya kuwa, kuna dairies, mawasiliano ya sauti ya simu, CCC TV camera recordings, stll pictures na etc.

Tupe utamu utusaidie na sio utunyime ufahamu ulio nao na kufanya mengine yatapo ongewa yaonekane kaamaa ya kutunga..
 
Nimekulia masaki na primary Obay hayo maisha nayaona kwenye documentary😂😂😂
sawa wewe ni familia bora kumbe tumeendelea vya kutosha kama unamaisha mazuri ya ostabay na hayo mengine ya kwenda shule bila viatu unayaona kwenye hadisi lakini sasa hayapo au yamepungua sana basi unakubaliana na mimi kuwa tuko mbali sana tumepiga hatua acha wivu
 
Ndio maana mabeyo anashauri kesi ifutwe na haina tija ila wanampuuza sitashangaa Kama atachukua Nchi kabla ya 2025

Maana alitoa miezi 6 ya mabadiliko makubwa ila hakuna kitu Bora tuwe Kama Guinea tu.
Kwa hiyo hii kesi itapelekea mapinduzi ya kijeshi
 
Pia zinakuwa kwa makusudi pungufu, sasa kwa nakusudi kwa faida yake au kuelemisha wana JF.
Naambiwa nambiwa na mtuu wa ndani wa Mahakaani ya kuwa, kuna dairies, mawasiliano ya sauti ya simu, CCC TV camera recordings, stll pictures na etc.

Tupe utamu utusaidie na sio utunyime ufahamu ulio nao na kufanya mengine yatapo ongewa yaonekane kaamaa ya kutunga..
Kula njama siyo? Mahakama ina kazi kubwa Sana kubaini kosa la kula njama kwenye picha
 
lIN

Lini uliteuliwa kuwa msemaji/mropokaji wa wa-Tanzania? Semea nafsi yako. Isitoshe huyo shetani wako hakumbukwi kwa lolote la maana.
Uliza chifu wenu minido vipi kovidi zimebuma utajua nini maana ya magufuli legacy
 
Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Nilikusoma mara tatu, na nikamwona rafiki yangu Erythro pale na yeye akishangilia uliyoandika hapa!

Ni baada ya kazi ngumu mkuu, ndipo matokeo ya kazi hiyo husifiwa. Tena watu kama wewe ndio huwa mnakuwa mbele kuimba sifa.

Mbowe, kama walivyo wapigania HAKI popote duniani walivyo, hawezi kufurahia chochote kabla ya kazi anayofanya kukamilika. Mbona watu hujitoa mhanga wa maisha yao kwa jambo ambalo wanaliamini? Wewe unaona kukaa mahabusu kwa Mbowe ndio mwisho wa maisha yake?
 
Kweli kabisa, ila ujue insu ya Katiba ni jambo lenye ugumu karibu TAWALA zote isipokuwa Mkwere ustaarabu wa siasa Safi ulitaka kumponza akaanzisha mchakato wa Katiba mpya, wenye Chama Chao wakamuwaikwa kumuonya matokeo yake Warioba akapigwa makofi na mwijukuu wake.
Furthermore ccm wanahofia bure Katiba mpya, hata Katiba mpya ikiwepo bado wataendelea kuwepo madarakani tu.
Katiba ilikuwa rahisi kupatikana chini ya magufuli kuliko kiongozi yoyote tena katiba ya kweli siyo ya kinafiki ila ukiwa na saikoloji ndogo ni vigumu kunielewa magu alitambua sana ubovu wa hii katiba ila alitumia ubovu wake kama alivyosema nyerere kuwa akipatikana kiongozi mzuri hii katiba itamfaa ila akipatikana kiongozi fisadi watz tutajuta, ubaya wa magu unatokana na kukuta nchi imechafukwa kwa mafisadi wauza unga nk ndiyo maana tunamuona magufuli kuwa ni dictator ila angekuta nchi ipo kama wakati wa nyerere watu tungegundua kuwa magu alikuwa kiongozi mzuri sana
 
Hali imebadilika mahakamani baada ya Kibatala kuomba Mashahidi wanne wasitajwe mahakamani kwa Usalama wao. Hali hii imepelekea Mawakili wa Jamhuri kuomba kesi iarishwe au la sivyo isikilizwe bila kuwepo watu mahakamani.

Je, Mashahidi hao ni waking Nani? Lakini kwa upande mwingine Jamhuri imetoa vielelezo ambapo vielelezo vyote vinatokana na kazi za awali za watuhumiwa wa Kwanza Hadi watatu na hukuna kilipuzi kwenye vielelezo hivyo. Vingi ya vielelezo ni sare za kaxi za Jeshi .

Mawakili wameomba mashahidi wasitajwe mahakamani...

Halafu wewe unataka watu wakisie majina yao na wawataje huku JF...

Je, JF itapigania usalama wa raia ambao mahakama imeona si busara kujulikana??
 
SASA KAZI INAANZA MBOWE ANAKULA MIAKA MPAKA KIBATALA HATAKI MASHAHIDI WAJULIKANE NI KINA NANI? MBOWE KWISHA KAZI
Wewe sababu yako hasa ya kumchukia Mbowe ni nini?
Ni tofauti za kisiasa?
Usifurahie mateso kama hayo kwa mtu ambaye inawezekana kabisa akawa hananhatia uoyote ile.
 
Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
hawawezi acha siasa labda ccm wajiunge na chadema
 
Tangu wampige vita magufuli hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kuwasikiliza chadema tena,ukizingatia watz wengi tuna mashaka na kifo cha magufuli kuwa siyo cha mapenzi ya mungu ila kuna mikono ya waharifu.kwa sasa chadema na viongozi wake wapo hatarini kuliko wakati wa magufuli wasipo jitambua kuwa uma wa watz haupo nyuma yao wataumizwa sana na kutoweshwa ,acha tucheki ili muvi la gaidi mbowe
Pole sana mjane! Mumeo amekwisha oza limebaki fuvu!
 
madai yake anatafuta uhuru wa tz yaani hata hajui kama nchi ilishaga pata uhuru toka mwaka 1961
Uhuru ambao mbunge wa jamhuri ya muungano anapigwa risasi,na watuhumiwa hawakamtwi!
Uhuru ambao waziri anaweza kutishiwa bastola na watu wa usalama,Uhuru ambao watu wanapotezwa jumla! Na state security organs!
 
Pale mitaa ya Bongoyo, Haile Selasie au Mkadini Mkuu.
Nimekulia masaki na primary Obay hayo maisha nayaona kwenye documentary😂😂😂
 
Katiba ilikuwa rahisi kupatikana chini ya magufuli kuliko kiongozi yoyote tena katiba ya kweli siyo ya kinafiki ila ukiwa na saikoloji ndogo ni vigumu kunielewa magu alitambua sana ubovu wa hii katiba ila alitumia ubovu wake kama alivyosema nyerere kuwa akipatikana kiongozi mzuri hii katiba itamfaa ila akipatikana kiongozi fisadi watz tutajuta, ubaya wa magu unatokana na kukuta nchi imechafukwa kwa mafisadi wauza unga nk ndiyo maana tunamuona magufuli kuwa ni dictator ila angekuta nchi ipo kama wakati wa nyerere watu tungegundua kuwa magu alikuwa kiongozi mzuri sana
Kwamba chini ya utawala wa magufuli katiba mpya ilikuwa inawezekana? upo serous kweli?
Najua unatania, jaribu kuwa serious kwasababu kwa kauli yako hii unajaribu kutonesha vidonda na majeraha ya watu.
Ikiwa tu uvumilivu wa kisiasa hakuwa nao ni kwa namna ipi hasa uzani alikuwa Nia ya Katiba mpya ?.
Yaan mhalifu anachangia ujenzi wa mahakama!!.. Oooh.
Unayatazama mambo Katika angle ipi? Inawezakuwa unaishi katika ulimwengu wako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom