Unadhani Mashahidi wanne ambao wameombwa kulindwa wasitajwe na Kibatala kesi ya Mbowe ni wakina nani?

Unadhani Mashahidi wanne ambao wameombwa kulindwa wasitajwe na Kibatala kesi ya Mbowe ni wakina nani?

Kweli kabisa, ila ujue insu ya Katiba ni jambo lenye ugumu karibu TAWALA zote isipokuwa Mkwere ustaarabu wa siasa Safi ulitaka kumponza akaanzisha mchakato wa Katiba mpya, wenye Chama Chao wakamuwaikwa kumuonya matokeo yake Warioba akapigwa makofi na mwijukuu wake.
Furthermore ccm wanahofia bure Katiba mpya, hata Katiba mpya ikiwepo bado wataendelea kuwepo madarakani tu.
Mkwere ni team washukiwa naye yupo katika waongoza nchi sasa ndiyo maana nikasema tusishangae walisema magu ndiyo kizuizi ila tunaona nguvu kubwa inatumika sasa kuzuia kila nguvu pinzani hiyo dalili maana yake inategemea sana kifo cha magu kilitokana na mkono wa mtu au la ,hata sisi team magufuli tulitegemea mambo kuwa ya kidemocrasia zaidi baada ya magu kuondoka tena ukizingatia kikwete na team yake ndiyo ma inchaji ,sasa kwanini kubana democrasi kumezidi ? Hapo pana akili niliyoisema kama kifo kina mikono ya watu basi ndiyo sababu ya democracy kubanwa zaidi na hao watu
 
Pia zinakuwa kwa makusudi pungufu, sasa kwa nakusudi kwa faida yake au kuelemisha wana JF.
Naambiwa nambiwa na mtuu wa ndani wa Mahakaani ya kuwa, kuna dairies, mawasiliano ya sauti ya simu, CCC TV camera recordings, stll pictures na etc.

Tupe utamu utusaidie na sio utunyime ufahamu ulio nao na kufanya mengine yatapo ongewa yaonekane kaamaa ya kutunga..
Walivyoanza kupiga magoti kwa Mh Rais eti amfutie kesi nikajua mwisho wa kiongozi wao kukwepa mkono wa sheria unakaribia!
 
Acha ujinga ww
Nipe werevu nielimike
Mkwere ni team washukiwa naye yupo katika waongoza nchi sasa ndiyo maana nikasema tusishangae walisema magu ndiyo kizuizi ila tunaona nguvu kubwa inatumika sasa kuzuia kila nguvu pinzani hiyo dalili maana yake inategemea sana kifo cha magu kilitokana na mkono wa mtu au la ,hata sisi team magufuli tulitegemea mambo kuwa ya kidemocrasia zaidi baada ya magu kuondoka tena ukizingatia kikwete na team yake ndiyo ma inchaji ,sasa kwanini kubana democrasi kumezidi ? Hapo pana akili niliyoisema kama kifo kina mikono ya watu basi ndiyo sababu ya democracy kubanwa zaidi na hao watu
Nimekuelewa
 
Hao ni maaskari wa JWTZ
Ila chief Hangaya pia alitakiwa ajumuishwe kwa kauli yake ya kusema watuhumiwa wengine walishafungwa huyo ni shahidi mhimu.
 
Nina amini kwa ukwasi alio nao mbowe na Family yake kwa ujmla hata kilo 1 ya sukari ingeliuzwa Laki 6 bado Ana uwezo wa ku- survive kwa miaka 50 bila kuteteleka kiuchumi.
Nimejaribu kupiga mahesabu mfano kilo moja aitumie kila siku yeye na familia yake ; kwa Mwaka 1 ni 600000x 366= Tshs 219,600,000
Kwa Miaka 50 ni 219,600,000 x 50 = Tshs 10,980,000,000

Chifu Unaweza kuwa sahihi.
 
COVID 19 ilimbeba
Tumia akili angekufa kwa covid huyu mother angefurahi sana na wote walio mchukia wangesema waziwazi ili chanjo zipate nguvu wewe huoni chanjo zimebuma mama asingekubali legacy ya magufuli kukwamisha chanjo wakati magufuli kafa kwa covid lazima wangetangaza dunia nzima
 
Tumia akili angekufa kwa covid huyu mother angefurahi sana na wote walio mchukia wangesema waziwazi ili chanjo zipate nguvu wewe huoni chanjo zimebuma mama asingekubali legacy ya magufuli kukwamisha chanjo wakati magufuli kafa kwa covid lazima wangetangaza dunia nzima
Chanjo imebuma kwako, kaburi halina ubia, endelea kujitia ujinga.
 
ipo barua ya Nyerere ya kujiuzuru. Tuonyeshe ya Gaidi AKA Mwizi
Jinga kweli, nilitegemea uiweke hiyo hapo hiyo barua ya kujiuzulu unayosema ipo lkn wkt huohuo unataka uoneshwe ya mbowe,

Kichaa mwenzenu kauliza nani ana control expenditure za serikali, kamsaidieni kutafuta majibu
 
Chanjo imebuma kwako, kaburi halina ubia, endelea kujitia ujinga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mother wako si alisemq ataleta chanjo mil 17 baada ya hizi mil1 sasa tutaona kama atathubutu kuzileta baada ya matokeo ya hizi mil 1 kubuma , chanjo 1 ni sh50,000 tunamlipa mzungu huu ni ufisadi ulio tukuka watz wenzangu tupinge hizi chanjo za majaribio siku zote
 
Ndio maana mabeyo anashauri kesi ifutwe na haina tija ila wanampuuza sitashangaa Kama atachukua Nchi kabla ya 2025

Maana wakubwa ndani ya jeshi walitoa miezi 6 ya mabadiliko makubwa ila hakuna kitu Bora tuwe Kama Guinea tu.
You must be a serious mental case
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mother wako si alisemq ataleta chanjo mil 17 baada ya hizi mil1 sasa tutaona kama atathubutu kuzileta baada ya matokeo ya hizi mil 1 kubuma , chanjo 1 ni sh50,000 tunamlipa mzungu huu ni ufisadi ulio tukuka watz wenzangu tupinge hizi chanjo za majaribio siku zote
Na ARV mnamlipa mzungu bei gani?
 
Hali imebadilika mahakamani baada ya Kibatala kuomba Mashahidi wanne wasitajwe mahakamani kwa Usalama wao. Hali hii imepelekea Mawakili wa Jamhuri kuomba kesi iarishwe au la sivyo isikilizwe bila kuwepo watu mahakamani.

Je, Mashahidi hao ni waking Nani? Lakini kwa upande mwingine Jamhuri imetoa vielelezo ambapo vielelezo vyote vinatokana na kazi za awali za watuhumiwa wa Kwanza Hadi watatu na hukuna kilipuzi kwenye vielelezo hivyo. Vingi ya vielelezo ni sare za kaxi za Jeshi .
Hao wanajeshi wanateswa bila sababu? Hivi wanajua impact yake?
 
Ndio maana mabeyo anashauri kesi ifutwe na haina tija ila wanampuuza sitashangaa Kama atachukua Nchi kabla ya 2025

Maana wakubwa ndani ya jeshi walitoa miezi 6 ya mabadiliko makubwa ila hakuna kitu Bora tuwe Kama Guinea tu.
Kweli aisee bora hizi tozo wale wanajeshi angalau wama faida kuliko haya magaidi ya ccm
 
Na ARV mnamlipa mzungu bei gani?
We kweli akili zako azifikilii arv ni mpango wa wazungu kueneza ukimwi ,kama kusingekuwa na ARV ukimwi ungekuwa asilimia 2% tu ya uliopo leo Afrika
 
Tumia akili angekufa kwa covid huyu mother angefurahi sana na wote walio mchukia wangesema waziwazi ili chanjo zipate nguvu wewe huoni chanjo zimebuma mama asingekubali legacy ya magufuli kukwamisha chanjo wakati magufuli kafa kwa covid lazima wangetangaza dunia nzima
Sio rahisi hivyo. Kifo tu walificha siku za kutosha ndio iwe ugonjwa?
 
We kweli akili zako azifikilii arv ni mpango wa wazungu kueneza ukimwi ,kama kusingekuwa na ARV ukimwi ungekuwa asilimia 2% tu ta uliopo leo Afrika
Yani ufanye ngono zembe wewe na Asha ngedele halafu usingizie wazungu?

Pumbavu kabisa.
 
Back
Top Bottom