Unadhani nani anafaa kumrithi Kassim Majaliwa endapo akiachia nafasi yake?

Unadhani nani anafaa kumrithi Kassim Majaliwa endapo akiachia nafasi yake?

Mtamharibia sasa. Siasa za Kiafrika ni changamoto sana. Ukifanya vizuri sisi wananchi wa kawaida tunakupenda, lakini wanasiasa wenzake watamchukia na kuanza kumfanyia fitina.
Kweli kabisa, Magufuli (rip) alinyweshwa sumu enzi yuko ujenzi akichapa kazi kuliko mawaziri wote.
 
Back
Top Bottom